Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,324
- 5,934
👆
Rais wa FIFA, INFATINO👇
Maachallah, hakika Qatar imeuheshimisha Uisilamu,
Pindi itakapofika nusra ya Allah na ushindi, utawaona watu wakiingia katika dini ya Allah makundi kwa makundi, basi Sali na umtukuze Mola wako, hakika yeye ndie anaepokea toba! Allah atuongoze, Aamiin!
Sol de Mayo
Kejeli, dharau, matusi n.k, hapana.
Moderator ,nawaomba msiufute huu uzi, tafadhalini..