kakuruvi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2009
- 770
- 259
Tumeshuhudia baadhi ya vifo vya viongozi, wanakuwa bado wanakubalika japo wamekufa mfano Hugo Chaves, Kuna watu wenzetu wazungu wanawaita Role Model, yaani ni mtu ambaye kwa mtazamo wa kila mmoja wetu tofautitofati anamwona kwamba anatamani kuwa kama yeye na huwa anakubali yale anayoyafanya kwa kiasi kikubwa.
Leo nawaomba Watu wa Jamii Forums tuchangie hii mada ya nani unamuona anafaa kuwa RAIS WA AFRIKA kama Afrika itakuwa moja ukieleza sababu za kumpendekeza mtu huyo!
Leo nawaomba Watu wa Jamii Forums tuchangie hii mada ya nani unamuona anafaa kuwa RAIS WA AFRIKA kama Afrika itakuwa moja ukieleza sababu za kumpendekeza mtu huyo!