Ha ha ha ha, SOPHIA WHO????
Nafikiri mwanaume wake wa shoka ndo atakuwa anaongoza kupitia mgongo wake.......au labda nchi itakuwa ilishagawanywa???
Endeleeni na kampeni,ngoja nisubiri na CHADEMA,APPT,NCCR,CUF,UPDP,DM,DP,JAHAZI nao wataje wagombea!!!:smile-big: