Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 10,526
- 13,015
Katika kuonesha kwamba umelishika taifa na humuogopi yeyote hata kujifananisha na malaika. ulishawahi kupayuka mahala.
Ulisema hivi "nikuteue mimi, nikupe nyumba, mshahara na gari " kisha umtangaze mpinzani ameshinda? ulidhani dunia imeishia pale.
Kwa taarifa tu ni kwamba zile hoja kwamba unaminya demokrasia yanakuja kuwa kweli. yani waliomuua Akwilini wapo uraiani wanaoshinda mahakamani ni wengine?
Limeboreshwa daftar la wapigakura bila kutangazwa? unatutukana kisa umenunua ndege kwani umenunua kwa pesa yako? si ndiyo kazi za Rais?
Leo unakuja kuwatisha wakuu wa wilaya na mikoa ili waje na takwimu za uongo
Hatujiandikishi
Ulisema hivi "nikuteue mimi, nikupe nyumba, mshahara na gari " kisha umtangaze mpinzani ameshinda? ulidhani dunia imeishia pale.
Kwa taarifa tu ni kwamba zile hoja kwamba unaminya demokrasia yanakuja kuwa kweli. yani waliomuua Akwilini wapo uraiani wanaoshinda mahakamani ni wengine?
Limeboreshwa daftar la wapigakura bila kutangazwa? unatutukana kisa umenunua ndege kwani umenunua kwa pesa yako? si ndiyo kazi za Rais?
Leo unakuja kuwatisha wakuu wa wilaya na mikoa ili waje na takwimu za uongo
Hatujiandikishi