Rais tunayemtaka 2015 - je ni sawa au?

John mnyika ndo rais wangu wa wakati huo kwa sasa akichemka hata kura simpi pia.

mamndenyi mh Mnyika ni kiongozi ambae ajawahi kutokea katika karne ya ivi karibuni na kamwe jj hawezi kuchemka ata kidogo.
 

Kwa kumbukumbu yangu, Mwl. Nyerere alikuwa hapendi kabisa mtumishi wa Umma au Kiongozi wa chama kuwa mfanyabiashara, alijua wazi kuwa matokeo yake ndo hayo, sasa ndani ya CCM ni yupi ambaye si mfanyabiashara, si mwizi, si fisadi? kwa namna hiyo kiongozi wa kweli wa kubadilisha mwelekeo uliopo atatokaje ccm?
 
mbna Mwigulu hajatajwa humu..?

Mwigulu hana sifa kwa sababu kauli zake zinaligawa taifa sawa na wenzie akina Nape kwa mfano Nape hana sifa kwa ajli ya domo lake chafu hilo domo lake ndilo linakimbiza makada wa CCM kwa maelfu. mtu kama Rage hana sifa ni kwapu kwapu sana tena tapeli pia laghai'
 
kama tunahitaji rais nadhani swala la ujana,uzee,ummee,ukee halina maana.Tunahitaji rais mtendaji,msafi kwa matendo,asiyemrahisi wa kurubuniwa na anatakiwa asiwe kwenye corrupt system.Kwa maoni yangu,dr.Slaa,mh.Myika na mh.Tundu Lissu wanaweza kutuvusha.Mh.Makamba pia anaweza kumudu bila kumsahau dr.Mwakyembe ila kikwazo chao ni chama,yaani system ndani ya chama chao itawagharimu mda mrefu saana ili kuweka mambo sawa
 
Uko sawa kabisa!
 

haya ndio maneno, huyo Tutor B nadhani ni mmoja kati ya walioanzisha ile ngo ya kamati/umoja wa vijana ila wagangie njaa ..
 
Last edited by a moderator:
ujazba wake unaujuaje kama sio ujuha jingalishi mkubwa wewe

Hv nyie vjana wa Chadema mna akili kweli au Mmelogwa? Hv toka lini Binadamu alieshndwa kumuogopa,kumheshmu na Kum2mikia Mungu/Muumba wake.., itakuaje ukja Mpa Urais ili aku2mikie Mwanadam mwenzanke? So cna shaka kua Dr Slaa hana sifa za kua Rais wa nchi hii hata kdogo period
 
Sio biashara tu hata nyumba ya kupangisha kiongozi hakutakiwa kuwa nayo unataka kuniambia leo hii ni kiongozi gani wa upinzani hana biashara? kama sio fisadi anakwepa kodi hakuna biashara katika nchi hii inayoweza kuzalisha faida bila kukwepa kodi kutokana na mlolongo wa kodi zisizo na kichwa wala miguu; sasa hapo nani msafi unamtuhumu mwenzio kwa ufisadi lakini unakwepa kodi au unaibia watu kupitia mzani au kuuza vitu vilivyoisha mda huko kwenye unga ndio usiseme kabisa hakuna cha upinzani wala askofu wala shehe wala waziri. Hakuna aliye msafi ishu ni kuanza upya na miiko mipya ya uongozi nyani haonagi kundule ndio maana mnaona viongozi wa upinzani ni wasafi madudu yao yakianikwa hapa mtakimbia watu wameyaweka tu kama rungu la mwisho. Usisahau ni Nyerere huyo huyo aliyesema upinzani wa kweli utatoka ccm kwa maneno mengine upinzani hautaingia Ikulu mpaka baadhi ya ccm watimkie huko na haohao ndio watakaokuja kwenye uongozi wa nchi; utabiri huu unakuwa kweli kila uchao na ccm haiondoki madarakani isipofarakana na hata wakifarakana ni hao hao watakaoongoza nchi wakitokea upinzani au ugombea binafsi. Mimi sijaona kiongozi bado upande wa upinzani tuna matatizo mangapi na wamefanya nini kuleta nafuu zaidi ya makelele na vurugu huwezi kuwa mzuri kwa kuwa m-baya.
 

hapo kwenye nyekundu mkuu!
Huyo ndiye tunayemtaka 2015 anazo sifa ulizozitaja.
Hao wengine acha wajifunze kwanza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…