Watu wanapinga kitu very specific kwa Samia, kama ambavyo walipinga kwa Magufuli.
Mbona wengi tu walimsifia hapa alipofanya vizuri. Mkataba ule ni wa hovyo!!! Na hiyo ndio hoja ya watu, sio uanamke wake au kitu kingine chochote.
Wakati wa JPM kulikuwa na ukatili na ujambazi wa kidola, mbona alipigwa spana kila kona. Pamoja na kubinya uhuru lakini watu walikuwa wanapinga tu.
Akina Mdude ni walewale, wamepinga sana na kupitia mengi wakati wa JPM. Akila Lissu, vipi tuseme na yeye walikuwa wanampinga kwa sababu binafsi au ni sera na matendo yake??