Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Februari 9, 2026, anatarajiwa kuwaapisha viongozi mbalimbali walioteuliwa hivi karibuni katika hafla itakayofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam kuanzia saa 5:00 asubuhi.
Kwa mujibu wa taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu, viongozi hao ni Wakuu wa Mikoa, Makatibu Wakuu, Katibu Mtendaji wa Tume ya Taifa ya Mipango, Makatibu Tawala wa Mikoa, Manaibu Makatibu Wakuu, Naibu Katibu Mtendaji wa Tume ya Taifa ya Mipango pamoja na Balozi.
Mie nnachojua hatuna rais, oktoba 29 watz hawakujitokeza kutoka kwenda kupiga kura!
Sasa huyo unayemzungumzia ni rais wa wasafi, wasanii au wa mauaji?!
Mie nnachojua hatuna rais, oktoba 29 watz hawakujitokeza kutoka kwenda kupiga kura!
Sasa huyo unayemzungumzia ni rais wa wasafi, wasanii au wa mauaji?!