Rais Samia haropoki hana temper ni vitendo tu

Sama samia ni jasir au polisi ndo jasiri
 
Kule nimeenda kupumzika baada ya kazi kubwa ya October 28 2020
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Hahahaha naona Samia amewaamulia bawacha hawapumui walimsema JPM Sasa imegeuka ,mama D


USSR
 
Million 300 zimerudishwa baada ya CDM kuigaragaza serikali kwenye rufaa sio favor hii.
Huwezi kuelewa mkono wa serikali kwenye hili. Wangeamua CDM isingeshinda hiyo rufaa. Kama huelewi hilo basi wewe ni mgeni nchi hii na Africa kwa ujumla. Unaamini na Mdude alishinda rufaa?,au ilipangwa tu iwe hivyo??
 
Huna akili hata moja
 
Shida ni kwamba mwisho wao huwa hapo Mzena tu
 
Hata Mwendazake hakuropoka ila aliomba Aombewe

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Nyie ni wapumbavu sana,ni jambo gani jipya ambalo samia atafanya la kuwashangaza wapinzani na kuwaogofya,hivi chadema mnafikiria awategemei haya yanayowakuta,kama jela washafungwa sana risasi washapigwa mahabusu ndio kwao lakini hawajawahi rudi nyuma.

Njia ya ukombozi wa kweli aijawahi kuwa rahisi,hata Mbowe na chadema yake washindwe mda huu IPO siku watanzania watapata ukombozi wa kweli wa kifikra kisiasa kiuchumi na Katiba bora na akina Mbowe na wote wenye mapenzi mema na nchi hii majina yao yataandikwa kwa wino wa dhahabu,na madhalimu wote unaowashabikia hivi sasa historia itawahukumu na kuwasahau time will tell.
 
Hahahaha naona Samia amewaamulia bawacha hawapumui walimsema JPM Sasa imegeuka ,mama D


USSR


Chuma JPM kilijua kunoa Chuma SSH


Wanaodhania kuwa Rais Samia Suluhu Hassan ni mpinzani wa John Pombe Joseph Magufuli wakapimwe mkojo





Rest well papaa🕊🕊🕊🕊

We miss you so much🙏
 
Mama nawajibu kwa busara


USSR
 
Chuma JPM kilijua kunoa Chuma SSH


Wanaodhania kuwa Rais Samia Suluhu Hassan ni mpinzani wa John Pombe Joseph Magufuli wakapimwe mkojo





Rest well papaa[emoji885][emoji885][emoji885][emoji885]

We miss you so much[emoji120]
Hakika Samia analeta Suluhu ya kweli mm kidogo nitoke kwenye lines


USSR
 
Ajiangalie tu - anaweza asifike mbali kama mwenzake.

Mungu hataniwi hata kidogo na atajibu kwa vitendo kabla ya 2025!
 
Hakika Samia analeta Suluhu ya kweli mm kidogo nitoke kwenye lines


USSR

Alishamwambia Mwamba kwamba anamshukuru kwa kuwanyoosha, amenyooka, na uwezo wa kuwanyoosha
 
Chuma JPM kilijua kunoa Chuma SSH


Wanaodhania kuwa Rais Samia Suluhu Hassan ni mpinzani wa John Pombe Joseph Magufuli wakapimwe mkojo





Rest well papaa🕊🕊🕊🕊

We miss you so much🙏
Hii speech ni kama ilikuwa inatafsiri kwamba Samia yupo tayari kuchukua nchi akisaidiwa na hao kina Kassim, Kabudi na Mpango.

Ilikuwa ni hotuba ya maono ya kile kilichokuja kutokea baadae.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…