Kwenye usiku wa Huba Huru Ghala Taasisi mbali mbali na Wafanyabiashara wameshiriki katika harambee maalum ya kumchangia Mhe Rais Samia Suluhu Hassan, kuongeza bguvu katika uchaguzi mkuu ili aweze kurejea tena madarakani kuliongoza Taifa la Tanzania kwa miaka mingine mitano.
Mpaka asubuhi ya leo kwenye Khaan Mbarouk ameeleza kuwa jumla ya fedha zilizokusanywa ni zaidi ya Tsh Billion 1.5, ikiwa ni matokeo ya mapenzi ya Watanzania kwa Rais Samia.
Kwenye usiku wa Huba Huru Ghala Taasisi mbali mbali na Wafanyabiashara wameshiriki katika harambee maalum ya kumchangia Mhe Rais Samia Suluhu Hassan, kuongeza bguvu katika uchaguzi mkuu ili aweze kurejea tena madarakani kuliongoza Taifa la Tanzania kwa miaka mingine mitano.
Mpaka asubuhi ya leo kwenye Khaan Mbarouk ameeleza kuwa jumla ya fedha zilizokusanywa ni zaidi ya Tsh Billion 1.5, ikiwa ni matokeo ya mapenzi ya Watanzania kwa Rais Samia.
Serikali Yote Ya Mwalimu Nimeiweka Mfukoni
Mwalimu Akasema Anamfuko Mpana Kiasi Gani Mpaka Serikali Itoshe Mfukoni Mwake
Ajua Anatoa Rushwa, wakati Ule Hatukuwa Na Mchezo Na Rushwa
Tukamkamata Tukamtupa Ndani, Mshenzi Sana Yule
Mpaka Sasa Serikali Ya CCM Inarudishwa Madarakani Na Wafanyabiashara Siyo Tena Wananchi Kupitia Sanduku La Kura. ImenunuliwA Sasa CCM
Kwenye kitabu cha " Things Fall Apart" Kuna character mmoja anaitwa Unoka alikuwa bingwa wa burudani, hakutaka shida...ya mambo ya vita. Alitaka peace of minds ....hakutaka shida kujua mambo ya usalama Yeye ilikuwa ni zumali tu! Raha kwenda mbele stress hazikupata nafasi kwake!!!
Kuepuka stress ni kuepuka kujua mambo mengi. Hata hivyo, tusisahau kuwa na taarifa za kutosha ni nguvu muhimu!