Rais Magufuli: Tuliibiwa sana na janja yao naifahamu, acha ninyooshe nchi kwanza

Mpunilevel

JF-Expert Member
Sep 14, 2015
3,140
1,871
Hakika nchi yetu imechezewa vya kutosha.uporaji wa misitu,madini,wanyama pori na raslimali nyingi kadha wa kadha.Pia kua kituo kikuu cha kusafirishia na kuuza madawa ya kulevya.Hivyo heshima ya Tanzania kimataifa kushuka kiwango.
Hili halina ubishi kwa mtanzania yeyote anaejitambua.
Matukio haya yaliendana na ushiriki wa baadhi ya watumishi wa serikali wasio waaminifu na ambao kwa sasa baadhi yao wana ukwasi mkubwa wa mali na chanzo cha umiliki wake ni kitendawili.

Jambo hili halikwenda peke yake ,bali kwa kushirkiana na baadhi wafanyabiadhara wakubwa hapa nchini wasio waaminifu.

Serikali ni makini na ina data full kupitia kitengo cha usalama juu ya yote yaliyokua yakifanyika.lilikua ni suala la muda tu kupata viongozi wenye uthubutu ku deal na huu upuuzi.

Serikali ya awamu ya tano imeonyesha uthubutu wa kupinga dhulma hizi kwa dhati kabisa.Cha ajabu wanaharakati na wanasiasa waliokua mstari wa mbele kupinga maovu haya kwa sasa ndo vinara kupinga juhudi hizi za serikali ya awamu ya tano.
ki ukweli inatia kichefuchefu sana.

Rais Magufuli is a humanbeing na human being is not perfect. Nillitegemea tusaidie katika kuonyesha njia sahihi na bora za kukomesha uovu huu ,si kila juhudi anazochukua ni kukejeliwa nakubezwa.
Nampongeza Rais Magufuli,Makamu Mama Samia,Waziri mkuu Kasim Majaliwa na serikali nzima kwa kua imara dhidi ya waovu hawa ambao wana mbinu za kila aina,wakitumia baadhi ya vyombo vya habari,mitandao ya kijamii na baadhi ya asasi mbalimbali za kijamii kuwadhoofisha.

Mwisho,
Tuunge mkono juhudi za serikali ya awamu ya tano kwa nguvu zetu zote,kwani jumuiya za kimataifa kwa ujumla wameridhishwa na performance ya serikali hii ,ndo Maana jana Rais alikutana Makamu wa Rais ADB na mwekezaji mkubwa kabisa toka India.

Ni kishiria tosha cha uwajibikaji.

Tuachane na wapiga kelele ambao kila kukicha hukana matamko yao.
 
Hakika nchi yetu imechezewa vya kutosha.uporaji wa misitu,madini,wanyama pori na raslimali nyingi kadha wa kadha.Pia kua kituo kikuu cha kusafirishia na kuuza madawa ya kulevya.Hivyo heshima ya Tanzania kimataifa kushuka kiwango.
Hili halina ubishi kwa mtanzania yeyote anaejitambua.
Matukio haya yaliendana na ushiriki wa baadhi ya watumishi wa serikali wasio waaminifu na ambao kwa sasa baadhi yao wana ukwasi mkubwa wa mali na chanzo cha umiliki wake ni kitendawili.

Jambo hili halikwenda peke yake ,bali kwa kushirkiana na baadhi wafanyabiadhara wakubwa hapa nchini wasio waaminifu.

Serikali ni makini na ina data full kupitia kitengo cha usalama juu ya yote yaliyokua yakifanyika.lilikua ni suala la muda tu kupata viongozi wenye uthubutu ku deal na huu upuuzi.

Serikali ya awamu ya tano imeonyesha uthubutu wa kupinga dhulma hizi kwa dhati kabisa.Cha ajabu wanaharakati na wanasiasa waliokua mstari wa mbele kupinga maovu haya kwa sasa ndo vinara kupinga juhudi hizi za serikali ya awamu ya tano.
ki ukweli inatia kichefuchefu sana.

Rais Magufuli is a humanbeing na human being is not perfect. Nillitegemea tusaidie katika kuonyesha njia sahihi na bora za kukomesha uovu huu ,si kila juhudi anazochukua ni kukejeliwa nakubezwa.
Nampongeza Rais Magufuli,Makamu Mama Samia,Waziri mkuu Kasim Majaliwa na serikali nzima kwa kua imara dhidi ya waovu hawa ambao wana mbinu za kila aina,wakitumia baadhi ya vyombo vya habari,mitandao ya kijamii na baadhi ya asasi mbalimbali za kijamii kuwadhoofisha.

Mwisho,
Tuunge mkono juhudi za serikali ya awamu ya tano kwa nguvu zetu zote,kwani jumuiya za kimataifa kwa ujumla wameridhishwa na performance ya serikali hii ,ndo Maana jana Rais alikutana Makamu wa Rais ADB na mwekezaji mkubwa kabisa toka India.

Ni kishiria tosha cha uwajibikaji.

Tuachane na wapiga kelele ambao kila kukicha hukana matamko yao.
Richmond
EPA
Escrow 1 & 2
Meremeta
Lugumi
 
Hakika nchi yetu imechezewa vya kutosha.uporaji wa misitu,madini,wanyama pori na raslimali nyingi kadha wa kadha.Pia kua kituo kikuu cha kusafirishia na kuuza madawa ya kulevya.Hivyo heshima ya Tanzania kimataifa kushuka kiwango.
Hili halina ubishi kwa mtanzania yeyote anaejitambua.
Matukio haya yaliendana na ushiriki wa baadhi ya watumishi wa serikali wasio waaminifu na ambao kwa sasa baadhi yao wana ukwasi mkubwa wa mali na chanzo cha umiliki wake ni kitendawili.

Jambo hili halikwenda peke yake ,bali kwa kushirkiana na baadhi wafanyabiadhara wakubwa hapa nchini wasio waaminifu.

Serikali ni makini na ina data full kupitia kitengo cha usalama juu ya yote yaliyokua yakifanyika.lilikua ni suala la muda tu kupata viongozi wenye uthubutu ku deal na huu upuuzi.

Serikali ya awamu ya tano imeonyesha uthubutu wa kupinga dhulma hizi kwa dhati kabisa.Cha ajabu wanaharakati na wanasiasa waliokua mstari wa mbele kupinga maovu haya kwa sasa ndo vinara kupinga juhudi hizi za serikali ya awamu ya tano.
ki ukweli inatia kichefuchefu sana.

Rais Magufuli is a humanbeing na human being is not perfect. Nillitegemea tusaidie katika kuonyesha njia sahihi na bora za kukomesha uovu huu ,si kila juhudi anazochukua ni kukejeliwa nakubezwa.
Nampongeza Rais Magufuli,Makamu Mama Samia,Waziri mkuu Kasim Majaliwa na serikali nzima kwa kua imara dhidi ya waovu hawa ambao wana mbinu za kila aina,wakitumia baadhi ya vyombo vya habari,mitandao ya kijamii na baadhi ya asasi mbalimbali za kijamii kuwadhoofisha.

Mwisho,
Tuunge mkono juhudi za serikali ya awamu ya tano kwa nguvu zetu zote,kwani jumuiya za kimataifa kwa ujumla wameridhishwa na performance ya serikali hii ,ndo Maana jana Rais alikutana Makamu wa Rais ADB na mwekezaji mkubwa kabisa toka India.

Ni kishiria tosha cha uwajibikaji.

Tuachane na wapiga kelele ambao kila kukicha hukana matamko yao.
hivi mtu akikuambia anainyoosha hii nchi, ni kampuni yake au familia yake? anamkomoa nani sasa kama sio wananchi wake halafu yeye anapata faida gani?maisha magumu mtaani kiasi hiki halafu mtu anakuja kusema anatunyoosha hivi unamwelewa kweli?
 
Hivi ajira za kada ya ualimu,afya, sheria na kilimo tayari zimetoka?
 
Lugumi hatukuuibiwa?! Kitwanga kule bungeni ilisemekana tu kalewa pombe,kwa nini hakupelekwa kwa mkemia? PAP jehatubiwi? Kivuko cha Bagamoyo walichopewa jeshi ili kuziba midomo?

Kama hataki tujadili basi na nchi nayo pamoja na yeye mwenyewe ajigawe kwa jeshi!!
 
dah!sijapandshwa daraja,ni mwaka sasa unakatika!!!lakini kuna vichaa wanamuunga mkono TRUMP wetu!
 
Wauza ngada chadema watakuponda tu
Tatizo vijana mmeshalemaa kabisa akili na hamuwezi kabisa kufikiri nje ya itikadi za vyama. Kila mtu yupo kwa ajili ya kushabikia lolote bila kujali baya au zuri ili mradi tu litoke kwenye chama chake. Anayepinga na kuukosoa utawala basi huyo ni CHADEMA (Sijui kwanini hawasemi CUF). Kwa utapiamlo huu wa fikra miongoni mwa vijana taifa linaumwa hakika, ukizingatia vijana ndio injini ya taifa lolote.
Wauza ngada chadema watakuponda tu
 
Wauza ngada chadema watakuponda tu
Tatizo vijana mmeshalemaa kabisa akili na hamuwezi kabisa kufikiri nje ya itikadi za vyama. Kila mtu yupo kwa ajili ya kushabikia lolote bila kujali baya au zuri ili mradi tu litoke kwenye chama chake. Anayepinga na kuukosoa utawala basi huyo ni CHADEMA (Sijui kwanini hawasemi CUF). Kwa utapiamlo huu wa fikra miongoni mwa vijana taifa linaumwa hakika, ukizingatia vijana ndio injini ya taifa lolote.
Wauza ngada chadema watakuponda tu
 
Back
Top Bottom