Rais Magufuli tazama hii video ujibu maswali yetu

2kimo

JF-Expert Member
Jan 23, 2014
2,029
2,071
Naomba mtukufu uitazame hii clip kwa makini ujibu maswali yafuatayo:-
  1. Dakika 1:30 uliuliza "hivi kweli sisi tunashindwa kutengeneza furnace yenye uwezo wa ku-generate heat kiasi cha 1500 degrees Celsius"
    1. Swali kwako: Je hilo linawezekana sasa kwako?
    2. Je, ungependa upewe miaka mingapi ulitimize?
    3. Je, kuzuia kupeleka mchanga Japan ndio suluhisho?
    4. una plan nyingine yeyote endapo tutaachiwa mgodi kuuendesha wenyewe au nasi tutapeleka wenyewe mchanga Japan kwa ajili ya kuuprocess?

  2. Dakika 1:46 ulisema hivi..."ila acha tu, tuibiwe hivyo hivyo..."
    1. Je, ni kweli unaushahidi kuwa tulikuwa tukiibiwa?
    2. Je, ulimshauri mkuu wako kwenye baraza la mawaziri?
    3. Ni kweli ulikuwa ukiridhika tunapoibiwa bila ya kupaza sauti, ulikuwa unangoja hadi uwe raisi ndio uweze kuzuia uovu?
    4. je, na sisi tusubirie hadi tutakapokuwa maraisi ndio tuanze kukemea uovu?

  3. Dakika 1:50 ulipewa ushauri huu..."chukua fomu basi!"....
    1. si ulisema kuwa hukushauriwa kuchukua fomu ya kugombea?

  4. Dakika 2:00 ulisema hivi..." Mimi watu watalimia meno!"..
    1. Je, tulikuwa wakosefu kiasi hiki au unatuhukumu kutimiza ahadi yako?
Kwa heshima na tahadhima naomba kuwasilisha!
 
naomba mtukufu uitazame hii clip kwa makini ujibu maswali yafuatayo:-
  1. Dakika 1:30 uliuliza...... "hivi kweli sisi tunashindwa kutengeneza furnace yenye uwezo wa ku-generate heat kiasi cha 1000 degrees Celsius"
    1. Swali kwako: Je hilo linawezekana sasa kwako?
    2. je, ungependa upewe miaka mingapi ulitimize?
    3. je, kuzuia kupeleka mchanga Japan ndio suluhisho?
    4. una plan nyingine yeyote endapo tutaachiwa mgodi kuuendesha wenyewe au nasi tutapeleka wenyewe mchanga Japan kwa ajili ya kuuprocess?
  2. Dakika 1:46 ulisema hivi..."ila acha tu, tuibiwe hivyo hivyo..."
    1. Je ni kweli unaushahidi kuwa tulikuwa tukiibiwa?
    2. Je, ulimshauri mkuu wako kwenye baraza la mawaziri?
    3. Ni kweli ulikuwa ukiridhika tunapoibiwa bila ya kupaza sauti, ulikuwa unangoja hadi uwe raisi ndio uweze kuzuia uovu?
    4. je, na sisi tusubirie hadi tutakapokuwa maraisi ndio tuanze kukemea uovu?
  3. Dakika 1:50 ulipewa ushauri huu..."chukua fomu basi!"....
    1. si ulisema kuwa hukushauriwa kuchukua fomu ya kugombea?
  4. Dakika 2:00 ulisema hivi..." Mimi watu watalimia meno!"..
    1. Je, tulikuwa wakosefu kiasi hiki au unatuhukumu kutimiza ahadi yako?
kwa heshima na tahadhima naomba kuwasilisha!
Nitafutie mwanasiasa ambaye alitimiza angalau 50% tu ya ahadi zake za uchaguzi. Wakati wa uchaguzi, these people can say and promise ANYTHING. Ndiyo maana siasa ikaitwa mchezo wa kula, kuliwa, kulana, kulika, kuliana...na kila tabaka lina nafasi yake katika ulaji, uliwaji, ulikaji, ulanaji, ulianaji huo. The question is, wewe uko wapi? Kama siyo mlaji, unafanyeje ili uondoke huko uhamie kwingine? Na unaweza kujivika jukumu la kuwasaidia na wengine watoke huko kwenye uliwaji....
 
Nitafutie mwanasiasa ambaye alitimiza angalau 50% tu ya ahadi zake za uchaguzi. Wakati wa uchaguzi, these people can say and promise ANYTHING. Ndiyo maana siasa ikaitwa mchezo wa kula, kuliwa, kulana, kulika, kuliana...na kila tabaka lina nafasi yake katika ulaji, uliwaji, ulikaji, ulanaji, ulianaji huo. The question is, wewe uko wapi?
No!
hili linalojadiliwa hapa, raisi amelifanyia kazi kama mjadala huu ulivyoenda!
amelalamika kuibiwa, na ameshalifanyia kazi kwa kuzuia mchanga kusafirishwa nje..!
lakini yeye alisema kuwa tatizo letu ni dogo sana la kushindwa kutengeneza furnace ya ku-heat huo mchanga!
so wengine tunataka kujua je, kwa sasa hilo haliwezekani?
 
Mimi nafananisha ahadi za kisiasa na pale mwanaume anapokaribia kuejaculate, anything can be said..unaweza kumwambia mwanamke nakukabidhi bahari ya hindi rasmi kuanzia sasa... ukishamaliza haja zako unajishangaa kama kweli uliahidi kitu kama hicho
 
No!
hili linalojadiliwa hapa, raisi amelifanyia kazi kama mjadala huu ulivyoenda!
amelalamika kuibiwa, na ameshalifanyia kazi kwa kuzuia mchanga kusafirishwa nje..!
lakini yeye alisema kuwa tatizo letu ni dogo sana la kushindwa kutengeneza furnace ya ku-heat huo mchanga!
so wengine tunataka kujua je, kwa sasa hilo haliwezekani?
Neno
 
No!
hili linalojadiliwa hapa, raisi amelifanyia kazi kama mjadala huu ulivyoenda!
amelalamika kuibiwa, na ameshalifanyia kazi kwa kuzuia mchanga kusafirishwa nje..!
lakini yeye alisema kuwa tatizo letu ni dogo sana la kushindwa kutengeneza furnace ya ku-heat huo mchanga!
so wengine tunataka kujua je, kwa sasa hilo haliwezekani?
Ngoja tuusubiri tuone huo mchanga ulioko bandarini wataufanya nini
 
YAANI HII THREAD YAKO HAINA POINT HATA MOJA.SIJUI WEWE MTU UMESOMA MPAKA DARASA LA NGAPI ! HAYO SIO MASWALI YA KUMUULIZA MTU MSOMI MWENYE Phd KAMA MHESHIMIWA RAIS MAGUFULI.KWANZA NI LAZIMA UJUE HUYU NDIYE RAIS WA KWANZA TANZANIA MWENYE ELIMU YA Phd.KWA HIYO UKITAKA KWELI KUMUULIZA DR MAGUFULI MASWALI,NEXT TIME UJIANDAE VIZURI HUKU UKIJUA UNAYEMUULIZA HAYO MASWALI NI MSOMI MWENYE Phd.
 
Back
Top Bottom