Gilbert A Massawe
JF-Expert Member
- May 14, 2015
- 5,007
- 4,080
Habar za muda huu wadau,
Kwanza nianze kutoa pole kwa wale waliodhani nchi hii inaongozwa kwa mihemko na ushabiki wa mitandaoni,mlitaka kila mnachoandika rais azingatie poleni sana kwa kuzipotezeni mb zenu pamoja na muda
Pia,niwape rai wanachi wapenda maendeleo kuzidi kuunga jitihada za rais wetu kipenzi huku nikiwaonya wapinzani watafute namna ya kupata kiki maana mnapoelekea mtamkodi mpaka harmorapa.......
Tanzania leo hii aipendwi bali mtu anapendwa kuliko taifa....... maskini tanzania yangu......
Ni hayo tu zinagatieni muda wenu
Na gilbert massawe
Kwanza nianze kutoa pole kwa wale waliodhani nchi hii inaongozwa kwa mihemko na ushabiki wa mitandaoni,mlitaka kila mnachoandika rais azingatie poleni sana kwa kuzipotezeni mb zenu pamoja na muda
Pia,niwape rai wanachi wapenda maendeleo kuzidi kuunga jitihada za rais wetu kipenzi huku nikiwaonya wapinzani watafute namna ya kupata kiki maana mnapoelekea mtamkodi mpaka harmorapa.......
Tanzania leo hii aipendwi bali mtu anapendwa kuliko taifa....... maskini tanzania yangu......
Ni hayo tu zinagatieni muda wenu
Na gilbert massawe