masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,172
Wewe hata ukiletewa maziwa nyumbni kwa bomba, utadai uletewe na ng'ombe!!!Kama ni Kweli hapa sina cha kupongeza,
Suala sio Dr.Hosea,Tatizo ni TAKUKURU kutokuwa Independent
Nilishauri kuwa Rais asome ripoti ya Jaji Warioba kuhusu Rushwa
Pia Sheria ibadilishwe,TAKUKURU waweze kushitaki bila kupitia kwa DPP
Pia arejeshe maoni ya Rasimu ya Wananchi .Kule mfumo mzima utakuwa umefumuliwa.Kumfukuza kazi Hoseah haimaanishi kuwa amepambana na Rushwa na ufisadi.Amemkomoa tu na kumdhalilisha tu kwa uonevu