Rais Magufuli anakabidhiwa uenyekiti CCM mwezi Juni 2016, Ungependa amtumbue nani?

iparamasa

JF-Expert Member
Nov 14, 2013
13,438
14,916
Kuanzia mwezi wa sita, Rais Magufuli anakuwa mwenyekiti wa taifa wa CCM. Je, ungependa amtumbue nani kwenye chama?

Sasa hivi wanaccm wanachekelea wanavyotumbuliwa watumishi wa umma.
 
Kuanzia mwezi wa sita magufuli anakuwa mwenyekiti wa taifa wa cccm,je ungependa amtumbue nani kwenye chama?sasa hivi wana Ccm wanachekelea wanavyotumbuliwa watumishi wa umma


Fisadi Lowasa alishakimbia mapema kuogopa kutumbuliwa, hivyo hakuna wakutumbuliwa tena!
 
Asilimia sabini ya makatibu wa Ccm mkoa na Wilaya atapiga chini,asilimia sabini ya wenyeviti mkoa NA wilaya
 
Fisadi Lowasa alishakimbia mapema kuogopa kutumbuliwa, hivyo hakuna wakutumbuliwa tena!
Atatumbuliwa yule mtangulizi aliyekula Billion 73 za ESCROW na watoto wake, kisha Mwenyekiti Wa Bunge bwn Chege mnayemwogopa haswa.

Hahaha CCM bana.
 
Atawavua uanachama wana Ccm wenye tuhuma za rushwa hasa wabung
 
Wa kutumbuliwa walishakimbia kama vile Sumaye kipindi ni PM alishinikiza kwa nafasi yake nyumba za serikali zikauzwa.
Mkuu ungeweka ile clip ambayo Sumaye alitetea kwa nguvu zote kuhusu kuuzwa kwa nyumba za serikali.
 
Back
Top Bottom