Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,242
- 34,917
- Thread starter
-
- #21
Sawa wamatopeniHahaha naona Nyumbu wanajipa moyo.
Any way mfa maji haachi kutapatapa..
Ukweli ni
Ukirudiwa uchaguzi wa rais Leo na chadema wakapata kura zaidi ya million 2 , haki ya Mungu natembea kwa miguu kutoka Dar hadi Simiyu.
kazi hipi hiyo?ya kumtumbua Lugumi?amewaachia hiyo ajenda ambayo haina mashiko(uwezi mweleza mpiga kura wako magufuli ni mbaya coz haonyeshi bunge live akakuelewa wakati anaona kazi za magufuli) ili mzunguke nayo, yeye anapiga kazi mpaka siku mkijigundua yeye yuko m 2000000 ahead
kwa katiba hi hi?na tume hìhi?Hahaha naona Nyumbu wanajipa moyo.
Any way mfa maji haachi kutapatapa..
Ukweli ni
Ukirudiwa uchaguzi wa rais Leo na chadema wakapata kura zaidi ya million 2 , haki ya Mungu natembea kwa miguu kutoka Dar hadi Simiyu.
na wang'ara kweli kweli!si umeona jpm ametulia,uku akiandaa script ya maigizo...a half month ago,jf ilikuwa haikaukiwi na habari za jpm,ila ona sasa...HATUA ya serikali kuzuia matangazo ya moja kwa moja ya imetajwa kuathiri zaidi Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuliko vyama vya upinzani, Anaandika Pendo Omary.
Wakizungumza na MwanaHALISI Online leo wakazi wa Jiji la Dar es Salaam wamesema, hatua hiyo inachangia kuwajenga wabunge wa upinzani ambao sasa taarifa zao zinafika zaidi kwa wananchi kuliko za wabunge wa CCM.
“Ni wazi serikali na CCM wanashirikiana kudhibiti bunge lisirushwe ‘live’ wakiwa na lengo la kuwakomoa wapinzani. Wabunge wa CCM nao wanafurahia hatua hii.
“Wananshidwa kujua wao wenyewe wanajinyimwa fursa wananchi kuona mambo mazuri yanayosemwa bungeni na mawaziri wao,” amesema Khamis Rajabu, Mkazi Kariakoo.
Grace Lameck, Mkazi wa Mwananyamala amesema, “Sasa tunaelewa kwa nini bunge linazuiwa kurushwa ‘live’, ni kuficha udhaifu wa wabunge wa CCM.
“Mfano ni hili sakata la Goodluck Mlinga, Mbunge wa Ulanga (CCM) hivi karibuni kudai kwamba, anayeteuliwa kuwa mbunge wa viti maalum ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) lazima aitwe ‘beby’ ikiwa na maana ya kuwa na uhusiano wa kimapenzi. Huku ni kufilisika hoja,” amesema Grace.
Grace amesema tarehe 13 Mai, 2016 baada ya Nape Nnauye ambaye ni Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo akiwasilisha bungeni makadirio ya mapato na matumizi ya fedha kwa mwaka 2016/2017 Mlinga alisema “ingekuwa amri yangu tungechonga sanamu la Diamond tukaliweka kwenye mnara wa Askari, ule mnara tumeuchoka.”
Na kwamba, kauli hiyo imechangia wanachi kukosa imani na uteteuzi wa wabunge wa CCM kuhusu kutorushwa bunge moja kwa moja.
Akiandika katika ukurasa wake wa Facebook, Irene Kiria, Mkazi wa Dar es Salaam anasema “bado sijaelewa kwa nini Bunge limeamua kuwapa upinzani umaarufu kiasi hiki. Social media (mitandao ya kijamii) imetaja zaidi yanayosemwa au kufanywa na wabunge wa upinzani kuliko wa CCM lakini mabaya ya CCM kuliko ya wapinzani.
“Kwa utendaji wa Rais Magufuli ulivyokubalika, wengi wetu tulipata mashaka iwapo upinzani utakuwa na nafasi katika Serikali ya Awamu ya Tano. Binafsi nikiri sasa kwamba, nilikuwa miongoni mwa waliojiuliza hivyo, kumbe nilikosea,” ameandika Kiria.
Pia Kiria ameanndika “kuzuia bunge ‘live’ ni ushahidi kwamba kimwili tunaishi katika karne ya leo lakini fikra na matendo yetu bado yako karne iliyopita. Matokeo ni huu mkanganyiko tunaoshuhudia, kulifanya jambo kusambaa na kufahamika zaidi kwa kitendo cha kujaribu kulizuia.
“Nadhani serikali na CCM wanatakiwa kutathmini namna wanavyoathirika kwa kufuta bunge ‘live’ isipokuwa kama hilo ndilo lengo lenyewe – kuwafanya wapinzani wang’are zaidi.”
Kwa katiba hii hii na tume hii hii Ukawa wameongeza wabunge na kuteka majiji karibu yote.kwa katiba hi hi?na tume hìhi?
wame yateka kwa nguvu ya umma!Kwa katiba hii hii na tume hii hii Ukawa wameongeza wabunge na kuteka majiji karibu yote.
Nguvu ya uma hiyo hiyo itumike kufikia nchi nzima.wame yateka kwa nguvu ya umma!
Teh teh teh unenikumbusha kale ka wimbo siku hazigandina wang'ara kweli kweli!si umeona jpm ametulia,uku akiandaa script ya maigizo...a half month ago,jf ilikuwa haikaukiwi na habari za jpm,ila ona sasa...
Mrema aliisumbua serikali ya CCM na mawaziri wakajiuzuru bila Bunge kuwa "Live",kiri tu kuwa Upinzani kwa sasa una wabunge mbumbumbu kuliko kuwahi kutokea.Usimdharau binadamu mwenzako
hivi kuna haja ya kuendelea kumuombea Magufuli?Teh teh teh unenikumbusha kale ka wimbo siku hazigandi
kila kitabu na zama zake!wabunge mbumbumbu ni kama Agnes Marwa?Mrema aliisumbua serikali ya CCM na mawaziri wakajiuzuru bila Bunge kuwa "Live",kiri tu kuwa Upinzani kwa sasa una wabunge mbumbumbu kuliko kuwahi kutokea.
Kinachowatisha msionyeshe bunge live tuwaone umbumbumbu wao ni nini?Mrema aliisumbua serikali ya CCM na mawaziri wakajiuzuru bila Bunge kuwa "Live",kiri tu kuwa Upinzani kwa sasa una wabunge mbumbumbu kuliko kuwahi kutokea.
Faida za kutokunywa chai kwa kukosa sukari inaleta matatizo sanaUkawa mnatafuta kicki ya 2020 lakin mnapomsema magu kipenzi cha wananchi mnaboa kwelikweli,
Mkuu tataomba na hata chai hatujanywa kwa kukosa sukarihivi kuna haja ya kuendelea kumuombea Magufuli?
Aminini hivyohivyo! Lakini sisi majority tunaamnini anabana matumizi na kuwafanya wafanyakazi wasipoteze muda watutumikie wananchi na wafanyabiashara waendelee na biashara zao kodi zaipatikane kwa wingi. Period!HATUA ya serikali kuzuia matangazo ya moja kwa moja ya imetajwa kuathiri zaidi Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuliko vyama vya upinzani, Anaandika Pendo Omary.
Wakizungumza na MwanaHALISI Online leo wakazi wa Jiji la Dar es Salaam wamesema, hatua hiyo inachangia kuwajenga wabunge wa upinzani ambao sasa taarifa zao zinafika zaidi kwa wananchi kuliko za wabunge wa CCM.
“Ni wazi serikali na CCM wanashirikiana kudhibiti bunge lisirushwe ‘live’ wakiwa na lengo la kuwakomoa wapinzani. Wabunge wa CCM nao wanafurahia hatua hii.
“Wananshidwa kujua wao wenyewe wanajinyimwa fursa wananchi kuona mambo mazuri yanayosemwa bungeni na mawaziri wao,” amesema Khamis Rajabu, Mkazi Kariakoo.
Grace Lameck, Mkazi wa Mwananyamala amesema, “Sasa tunaelewa kwa nini bunge linazuiwa kurushwa ‘live’, ni kuficha udhaifu wa wabunge wa CCM.
“Mfano ni hili sakata la Goodluck Mlinga, Mbunge wa Ulanga (CCM) hivi karibuni kudai kwamba, anayeteuliwa kuwa mbunge wa viti maalum ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) lazima aitwe ‘beby’ ikiwa na maana ya kuwa na uhusiano wa kimapenzi. Huku ni kufilisika hoja,” amesema Grace.
Grace amesema tarehe 13 Mai, 2016 baada ya Nape Nnauye ambaye ni Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo akiwasilisha bungeni makadirio ya mapato na matumizi ya fedha kwa mwaka 2016/2017 Mlinga alisema “ingekuwa amri yangu tungechonga sanamu la Diamond tukaliweka kwenye mnara wa Askari, ule mnara tumeuchoka.”
Na kwamba, kauli hiyo imechangia wanachi kukosa imani na uteteuzi wa wabunge wa CCM kuhusu kutorushwa bunge moja kwa moja.
Akiandika katika ukurasa wake wa Facebook, Irene Kiria, Mkazi wa Dar es Salaam anasema “bado sijaelewa kwa nini Bunge limeamua kuwapa upinzani umaarufu kiasi hiki. Social media (mitandao ya kijamii) imetaja zaidi yanayosemwa au kufanywa na wabunge wa upinzani kuliko wa CCM lakini mabaya ya CCM kuliko ya wapinzani.
“Kwa utendaji wa Rais Magufuli ulivyokubalika, wengi wetu tulipata mashaka iwapo upinzani utakuwa na nafasi katika Serikali ya Awamu ya Tano. Binafsi nikiri sasa kwamba, nilikuwa miongoni mwa waliojiuliza hivyo, kumbe nilikosea,” ameandika Kiria.
Pia Kiria ameanndika “kuzuia bunge ‘live’ ni ushahidi kwamba kimwili tunaishi katika karne ya leo lakini fikra na matendo yetu bado yako karne iliyopita. Matokeo ni huu mkanganyiko tunaoshuhudia, kulifanya jambo kusambaa na kufahamika zaidi kwa kitendo cha kujaribu kulizuia.
“Nadhani serikali na CCM wanatakiwa kutathmini namna wanavyoathirika kwa kufuta bunge ‘live’ isipokuwa kama hilo ndilo lengo lenyewe – kuwafanya wapinzani wang’are zaidi.”
Hivi umekunywa chai leo mtani kwako kunasukariOneni sasa ndiyo maana chadema hatuwaelewi leo tena mnamkumbuka Jk? Lowasa mkasema sio fisadi, sasa hv tena Jk amekuwa mzuri hadi mnamkumbuka? Na bado mtanyooka tu,