Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 14,047
- 20,411
Chalamila ni katibu mwenezi wa ccm ?Hahahaa....... RC Chalamila amesema madiwani wote wa chadema Kyela wameomba kujiunga CCM, je hili nalo unalizungumziaje?!
Hapo ndipo utambue kwamba watanzania ni wamoja ila magu ndiyo anatugombanisha! Alizuia hadi mwanaccm yeyote asiende kumsalimia mbunge wa chadema gerezani,akawanyima wabunge wa ccm wasiwape muda wa kuzungumza wabunge wa upinzani,akatoa agizo nyumba za kimara zibomolewe ila za mwanza zisibomolewe kwa kuwa wamempa kura,akampa ndugai pesa nyingi za kujitibu India huku akimnyima Lissu aliyekuwa hoi kwa majeraha ya risasi aliyoyapata akiwa kazini,akagawa mikopo kwa wana ccm huku wasio wana ccm wakifanyiwa hiyana hata kufunga biashara zao na kuwaweka ndani! NkTanzania raha sana yaani mchango wa msikiti ila hadi kwaya inachanga sijawai ona popote asee safi sana watanzania
Labda ubunge wa nyumbani kwake.Dr.Tulia ubunge 2020 Mbeya
Wataalam wa kukadiria, hebu fanyeni makadirio ya gharama za msafara wote pamoja na hela zinazomwagwa kama mtama mbele ya njiwa,maana naona kama siyo serikali yote IPO huko basi NUSU yake.kwani CHADEMA wamefanya ziara huko?
Kwani CHADEMA wamepata mgao wa 1.5 t?
CHADEMA wamepora fedha za maduka ya kubadili fedha ili wagawe nchi nzima?
CHADEMA wamepora viwanja vya wazi na viwanja vya mpira vilivyojengwa na nguvu kazi za wananchi wote ili wagawe kwa wananchi?
Hata Mbunge wa Chadema Suzan Kiwanga yuko kwenye msafara!Wataalam wa kukadiria, hebu fanyeni makadirio ya gharama za msafara wote pamoja na hela zinazomwagwa kama mtama mbele ya njiwa,maana naona kama siyo serikali yote IPO huko basi NUSU yake.
Level zake ni akina kibajaji, msukuma na mlinga, ndugu-aai, hawajitambuiChalamila ni katibu mwenezi wa ccm ?
Wabarikiwe sanaTukio liko live TBC
Karibu!
Rais Magufuli amechangia 5m
Dr Mwakyembe 500,000
Dr Mwanjelwa 150,000
Mkurugenzi usalama. 1,000,000
CCM 1,000,000
Uvccm 1,000,000
RPC Mbeya 200,000
Mwakipesile 100,000
Dr Tulia..... 2,000,000
DC Kyela 200,000
Waziri Jaffo.....500,000
Kwaya ya uinjilisti Amani 30,000
Majina mengine sijayapata vizuri ila jumla ya michango iliyopatikana kwa ajili ya ujenzi wa Msikiti ni sh 20,180,000
Mungu awabariki wote waliomtolea kwa moyo bila kujali tofauti za kiimani wakiwemo makanisa ya RC, Morovian, KKKT ,TAG na Anglican
taja sehemu ambako hakuna mvua acha porojo, niko arusha mvua zinanyesha mpaka mafuriko, sema wapi hakuna mvua tukuumbueAmejiandaa la baa la njaa linakokuja mbele,au serikali haina shamba au jiko!?
Mnagawa hela kwenye nsafara wakati maeneo mengi yamekosa mvua mimea ya chakula imeungua na jua.
Je mmejiandaa kuwahami watakaoathirika na njaa?
Porojo unaleta wewe kula kulala,umesoma vizuri bandiko langu?taja sehemu ambako hakuna mvua acha porojo, niko arusha mvua zinanyesha mpaka mafuriko, sema wapi hakuna mvua tukuumbue
Mvua zinanyesha wakati MAHINDI yameshakauka pumbavu zako.taja sehemu ambako hakuna mvua acha porojo, niko arusha mvua zinanyesha mpaka mafuriko, sema wapi hakuna mvua tukuumbue
Mapembelo!taja sehemu ambako hakuna mvua acha porojo, niko arusha mvua zinanyesha mpaka mafuriko, sema wapi hakuna mvua tukuumbue
acha porojo dodoma singida tabora manyara ni mikoa yenye ukame miaka yote ndio maana wanalima mazao ya kustahimili ukame kama alizeti, zabibu, ufuta, anaelima mahindi babati atakuwa kichaa. mahindi yanalimwa kwa wingi songea rukwa. hiyo mikoa miwili ndio inalisha tanzania nzima na mvua ziko za kutoshaMvua zinanyesha wakati MAHINDI yameshakauka pumbavu zako.
Nenda kaseme maneno hayo babati manyara dodoma kiteto kama wasipokugawana viungo vya mwili wako!!
Wewe ndiye kichaa wa kwanza nchi hii.acha porojo dodoma singida tabora manyara ni mikoa yenye ukame miaka yote ndio maana wanalima mazao ya kustahimili ukame kama alizeti, zabibu, ufuta, anaelima mahindi babati atakuwa kichaa. mahindi yanalimwa kwa wingi songea rukwa. hiyo mikoa miwili ndio inalisha tanzania nzima na mvua ziko za kutosha
acha unaa, hela za walipa kodi achangie kwenye group moja la jamii?Wabarikiwe sana