Rais kutekeleza agizo lako la kukamata wasiofanya kazi, anza na Polepole!

magode

JF-Expert Member
Oct 2, 2014
2,204
3,336
Wanajamvi
Salaam;

Siku chache zilizopita wakati Rais akiwaapisha wakuu wa mikoa,aliagiza pamoja na mambo mengine wahakikishe kila mtu afanye kazi kweli kweli,alisisitiza vijana waambiwe wafanye kazi,km hawataki kufanya kwa hiari walazimishwe.

Wazo la mkuu wa kaya ni wazo zuri sana! Lkn ili kulitendea haki,naomba Rais awatume vijana wake waanze na Humphrey Polepole ambae kila kukicha anazunguka kwenye vyombo vya habari. Na kwa sasa amevuka mpaka,ameanza kuwa msemaji wa serikali. Anatoa matamko kuitamkia serikali kana kwamba haina wasemaji wake. Huyu mtu akamatwe akalime kwa lazima.

Kuna tetesi kwamba jamaa anafanya vile kuomba hisani ya ukuu wa wilaya,yaani Rais Magufuli ukimteua huyu jamaa hata nafasi tu katibu tarafa,utakuwa umeharibu kila kitu...!
Kuweka nidhamu ya kazi na kwa wahuni wengine,kamata huyo Dogo peleka kijijini akilime!!
Nawasilisha!!
 
.....hahahahahahahah bavicha bana kiwanda chenu hakiishi(wagi) product mpya za uongo na majungu... kila siku mnafyatua tu... kweli kuongoza hii nchi bora ukabebe box kwa Trump...
Mkuu wewe unaona ni halali huyu jamaa kuzurula kila siku? Si atalaza njaa familia??? Huyu ni wa kukamata tu..
 
Eti alipiga simu kwenye ofisi mbili za ubalozi kutaka kupata ufafanuzi kama kweli nchi hizo zimejitoa kuisaidia Tanzania.

Cha ajabu,alishindwa kuwataja hao maofisa kwenye hizo balozi na hata mtangazaji wa Star tv alipomtaka afafanue kwanini anasema/anaamini waandishi wanapotosha habari ya wafadhili zaidi kujitoa alishindwa pia kutoa ufafanuzi.Huyu kweli ndio wa kumuamini?!

Ovyo kabisa huyu mtu!
 
POLE POLE hana kazi km mimi?sasambona anbaipenda ccm?
Mkuu km ana kazi anaifanya saa ngapi!!? Yeye anadhani kwa kufanya hivyo ataonekana na mkuu wa kaya ili ateuliwe nafasi za kuteuliwa. Mwanzo alitaka ukuu wa mkoa,jamaa akamtosa,hivi sasa anabahatisha ukuu wa wilaya..!
 
Laiti ungejua kazi yake hiyo wala usingekuja kuandika huo uharo wako...
Wewe unamjua polepole kunizidi mimi!!? Au kwa sababu ya hizi id fake?? Me naandika kitu nilicho na uhakika nacho. Kanuni za hapa haziruhusu kwa sababu polepole ni member hapa,anatumia id halisi hatuwezi kuweka mambo hadharani hapa tutakuwa tunamvua nguo na kuambulia ban. Itoshe tu kusema namfahamu pengine kuliko wewe!!
 
Wewe unamjua polepole kunizidi mimi!!? Au kwa sababu ya hizi id fake?? Me naandika kitu nilicho na uhakika nacho. Kanuni za hapa haziruhusu kwa sababu polepole ni member hapa,anatumia id halisi hatuwezi kuweka mambo hadharani hapa tutakuwa tunamvua nguo na kuambulia ban. Itoshe tu kusema namfahamu pengine kuliko wewe!!
kama we ni mke wake basi sawa
 
Eti alipiga simu kwenye ofisi mbili za ubalozi kutaka kupata ufafanuzi kama kweli nchi hizo zimejitoa kuisaidia Tanzania.

Cha ajabu,alishindwa kuwataja hao maofisa kwenye hizo balozi na hata mtangazaji wa Star tv alipomtaka afafanue kwanini anasema/anaamini waandishi wanapotosha habari ya wafadhili zaidi kujitoa alishindwa pia kutoa ufafanuzi.Huyu kweli ndio wa kumuamini?!

Ovyo kabisa huyu mtu!
Halafu anapiga simu ubalozi km nani!!??
 
Wanajamvi
Salaam;

Siku chache zilizopita wakati Rais akiwaapisha wakuu wa mikoa,aliagiza pamoja na mambo mengine wahakikishe kila mtu afanye kazi kweli kweli,alisisitiza vijana waambiwe wafanye kazi,km hawataki kufanya kwa hiari walazimishwe.

Wazo la mkuu wa kaya ni wazo zuri sana! Lkn ili kulitendea haki,naomba Rais awatume vijana wake waanze na Humphrey Polepole ambae kila kukicha anazunguka kwenye vyombo vya habari. Na kwa sasa amevuka mpaka,ameanza kuwa msemaji wa serikali. Anatoa matamko kuitamkia serikali kana kwamba haina wasemaji wake. Huyu mtu akamatwe akalime kwa lazima.

Kuna tetesi kwamba jamaa anafanya vile kuomba hisani ya ukuu wa wilaya,yaani Rais Magufuli ukimteua huyu jamaa hata nafasi tu katibu tarafa,utakuwa umeharibu kila kitu...!
Kuweka nidhamu ya kazi na kwa wahuni wengine,kamata huyo Dogo peleka kijijini akilime!!
Nawasilisha!!
Kwani polepole ni dogo? Au wewe ni mzee zaidi yake? Maana mimi polepole namuona ni kibabu kabisa.
 
Nimeipenda hii mada...hakika Humphrey Polepole ni mzurururaji...ajitokeze hapa afafanue kipate chake anakipataje siyo lazima ataje kiasi anachopata...Polepole njoo ujitetee kakaangu. Nakiri pia hana uwezo wa kuongoza hata familia ..rejea taasisi yake ambayo imeishia kapuni baada ya kuitekeleza...kaka wewe unaishije maana kila kukicha upo kipigia debe...serikali ya magufuli haifanya kazi na survivors haitaki waigizaji...kuwa mbunifu mkuu...tafuta njia nyingine mbona unakipaji? andika biz plan nenda benki ya kilimo utapata hela kaazishe mradi wa kilimo nita kupa link ya wataalamu toka naliendele karibu na kwenu maana wale wa SUA wako juu sana hutaawalewa maana wewe unapenda kubishana
 
Back
Top Bottom