Rais Kikwete ziarani mkoani Tanga

Rais Kikwete ziarani mkoani Tanga

Magembejr

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2014
Posts
618
Reaction score
75
Kuanzia tarehe 23/03/014 kukagua miradi ya maendeleo,swali kwake miradi ipi wakati viwanda,bandari na mashamba ya mikonge yamekufa?
 
Kuanzia tarehe 23/03/014 kukagua miradi ya maendeleo,swali kwake miradi ipi wakati viwanda,bandari na mashamba ya mikonge yamekufa?

Aende na pemba na unguja kama serekali mbili zinawezekana.
 
Naomba wakuu mnisaidie, hivi hii KONGOWE CITY ilishajengwa ikakamilika? Maana nasikia kuna mashamba yanauzwa, na huduma zote zipo, hebu mwenye uelewa wa hili jambo atupe maelezo yake


cc wadau wote.
 
sio kongowe city ni pongwe city' eneo lipo na viwanja watu wamenunua.ila ni ghali kidogo
 
Tunampongeza mh rais kwa uamuzi sahihi wa kwenda kuongea na wananchi na kukagua miradi ya maendeleo. Viva jk
 
Anakuja kufungua vitu kama hivi.
 

Attachments

  • 1395517278398.jpg
    1395517278398.jpg
    61.8 KB · Views: 131
Nimeipenda hii,ni sawa na mie nigombee udiwani aneo la kigamboni halafu wakati kampeni zinaendelea baba yangu ambaye ni mkuu wa mkoa wa dsm aje kukagua maendeleo ya daraja jipya la kivukoni nilimefikia wapi

Mwenye akili kama za jaji warioba atanielewa nina maana gani
 
Aende na pemba na unguja kama serekali mbili zinawezekana.

Hapo ndipo angejulikana kwamba yeye kweli ni Rais wa Muungano, vinginevyo yeye ni Rais wa Tanzania bara, ndiyo maana hata Zanzibar wakivunja Katiba, hana anachoweza kufanya, kinachobaki ni kujikausha na kukimbilia Tanga!
 
Back
Top Bottom