SAIZI YANGU
JF-Expert Member
- Nov 8, 2013
- 381
- 83
- Thread starter
-
- #21
Hivi kikwete miaka kumi kafanya nini..tuongee subsyance kidogo
1.elimu imeshuka
2.afya usiseme mimi nipo huko najua(na mgomo mkubwa ulitokea wakate wake-ila bongolala ccm watakuwa wamesahau)
3.wizi na rushwa usiseme
4.katiba mpya kaikanyaga kanyaga( kazi kubwa ya warioba kaharibu ndani ya hotuba ya nusu saa-pole pole hakumbuki ati.?!)
5.wakulima sijui hata kama wapo tena
6. Uwajibikaji ofice za serekali zero
So umesema kikwete kampa somo lowasa somo gani hasa, labda mamna ya kuwa failure president
Kafanya kwenye lipi..hivi watanzania tuna matatizo gani..!?Hao yote uliyaordhesha ndiyo kafanya vizuri saa akiazi na afya, elimu, miundo mbinu nk
Acha ujinga wako...IQ ndogo haiwezi kuongoza IQ kubwa....kama nimetoa wazo na likakubalika na nikapewa kazi ya kulisimamia na likafanikiwa mm niliyesimamia ndiye napaswa kupongezwa.
Kwa nini hadi sasa tunampongeza Jenerali Twalipo?
Kama ni hivyo basi hata richmond, escrow n.k, ni maagizo toka kwa mukulu
Watu wa ccm mi nawashauri tu mkae mkao wa kushindwa. Wengi naona mnajaribu kutupa uzi mnadhani ndo mntawabadilisha ukawa lakini naona mnagonga tu mwamba. Alafu nyie ni watu wazima mambo ya kufanyia umbea kwenye vijembe wanavyovitoa viongozi wenu ndio mnazidi kujishushia heshima. Inaonekana kweli ccm haina sifa/vigezo vya kushinda safari hii.
Kafanya kwenye lipi..hivi watanzania tuna matatizo gani..!?
Kama ni hivyo basi hata richmond, escrow n.k, ni maagizo toka kwa mukulu
Wakati wa sherehe ya kumuaga Rais Kikwete iliyoandaliwa na Wizara ya Ujenzi, Rais kikwete alimpa somo Lowasa kwa kueleza kuwa mtu akiwa Waziri hapaswi kujisifia kuwa amelifanya jambo Fulani yeye binafsi katika nchi wakati Waziri hufanya kazi kwa niaba ya Rais. Alitolea mfano huo alipokuwa anamsifia Waziri Pombe Magufuli ambaye pamoja na kazi nzuri ya ujenzi wa Barabara lakini wakati wote amekuwa hajisifii kuwa anafanya yeye binafsi. Uchunguzi unaonesha kuwa Rais alikuwa anampa somo hilo Lowasa ambaye anajitapa kuwa alijenga UDOM wakati wazo hilo ni la JK mwenyewe binafsi wala halikuwa ktk ILANI YA CCM
bas na hyo pesa ya Richmond walikula wote kama ni hvyo!
yan maazur alfanya na Jk alafu mabaya alifanya mwenyewe
wazo la cdm la kujenga chuo ddma
Wakati wa sherehe ya kumuaga Rais Kikwete iliyoandaliwa na Wizara ya Ujenzi, Rais kikwete alimpa somo Lowasa kwa kueleza kuwa mtu akiwa Waziri hapaswi kujisifia kuwa amelifanya jambo Fulani yeye binafsi katika nchi wakati Waziri hufanya kazi kwa niaba ya Rais. Alitolea mfano huo alipokuwa anamsifia Waziri Pombe Magufuli ambaye pamoja na kazi nzuri ya ujenzi wa Barabara lakini wakati wote amekuwa hajisifii kuwa anafanya yeye binafsi. Uchunguzi unaonesha kuwa Rais alikuwa anampa somo hilo Lowasa ambaye anajitapa kuwa alijenga UDOM wakati wazo hilo ni la JK mwenyewe binafsi wala halikuwa ktk ILANI YA CCM
Wakati wa sherehe ya kumuaga Rais Kikwete iliyoandaliwa na Wizara ya Ujenzi, Rais kikwete alimpa somo Lowasa kwa kueleza kuwa mtu akiwa Waziri hapaswi kujisifia kuwa amelifanya jambo Fulani yeye binafsi katika nchi wakati Waziri hufanya kazi kwa niaba ya Rais. Alitolea mfano huo alipokuwa anamsifia Waziri Pombe Magufuli ambaye pamoja na kazi nzuri ya ujenzi wa Barabara lakini wakati wote amekuwa hajisifii kuwa anafanya yeye binafsi. Uchunguzi unaonesha kuwa Rais alikuwa anampa somo hilo Lowasa ambaye anajitapa kuwa alijenga UDOM wakati wazo hilo ni la JK mwenyewe binafsi wala halikuwa ktk ILANI YA CCM
Hivi kikwete miaka kumi kafanya nini..tuongee subsyance kidogo
1.elimu imeshuka
2.afya usiseme mimi nipo huko najua(na mgomo mkubwa ulitokea wakate wake-ila bongolala ccm watakuwa wamesahau)
3.wizi na rushwa usiseme
4.katiba mpya kaikanyaga kanyaga( kazi kubwa ya warioba kaharibu ndani ya hotuba ya nusu saa-pole pole hakumbuki ati.?!)
5.wakulima sijui hata kama wapo tena
6. Uwajibikaji ofice za serekali zero
So umesema kikwete kampa somo lowasa somo gani hasa, labda mamna ya kuwa failure president
Labada awahamishiwe Madakatari wake wa Ujerumani hapa nchini.