Rais Kikwete ampa somo lowassa

Hao yote uliyaordhesha ndiyo kafanya vizuri saa akiazi na afya, elimu, miundo mbinu nk

 
Unawalisha wazo kwa nani? na nani anakutuma kusimamia.. Hebu fikiri ulichoandika na tofautisha na nilichoeleza


Acha ujinga wako...IQ ndogo haiwezi kuongoza IQ kubwa....kama nimetoa wazo na likakubalika na nikapewa kazi ya kulisimamia na likafanikiwa mm niliyesimamia ndiye napaswa kupongezwa.

Kwa nini hadi sasa tunampongeza Jenerali Twalipo?
 
Kuna tofauti kubwa kati ya facts na vijembe. Mfano tukisema afya ya Lowasa ni duni, hicho ni kijembe au fact.


 
anataka kutuambia richmond nayo ilikuwa wazo lake na ina muhusu yy.mbn sasa hakuwajibika???
 

Naomba nikusahihishe,wazo la UDOM lilikuwa la Che Nkapa,alichofanya yeye ni kuliendeleza wazo lile.

Sikatai kuna mabaya amefanya Lowassa lakini kuna mazuri mengi ameyafanya pia.JK angetunza heshima yake ndogo iliyobaki kwetu sisi wengine kwa kuacha kuendelea kutoa vijembe vyake visivyosaidia chochote
 
bas na hyo pesa ya Richmond walikula wote kama ni hvyo!
yan maazur alfanya na Jk alafu mabaya alifanya mwenyewe

kwa hiyo, hata kina tibaijuka na lambo za pesa za escrow ni agizo la mkuu, ahaaa...! mnaona kauli hizo muacheni lowasa kwan alitumwa.
 

Huo ndiyo uzuri wa Kikwete, huwezi kabisa kupata taabu kumuelewa, kwa hivyo hapo ana maanisha anakubaliana na Lowasa kwamba ni kweli suala la Richmond Lowasa alijiuzuru kwa niaba ya rais!!
 


Asante kwa taarifa, ila tunamtaka lowassa
 

Maswali mazuri sana ila sasa wagombea wooote kwa wakati tofauti wamemsifu saana JK kwa utendaji wake, vigezo gani walitumia wao wanajua zaid!!! Na wameahidi kuendeleza atakapoishia. . . . . . .

Labda waulizwe wao waliofanya naye kazi kwa karibu. . . . . . .Huwa wanasifia nini haswa??!!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…