Rais Kagame Kamteua Mtanzania kuwa waziri

Pamoja na kwamba ni ya muda mrefu, mtu akishaukana uraia wake hawezi kuitwa "mtanzania" tena. Huyo ni mnyarwanda mwenye asili ya Tanzania.
 
Mwacheni mzee wa watu asaidie kuijenga Rwanda, sisi wasomi wetu na maprofesa wetu tunawatumia vibaya kama misukule, angalia tulivyomharibu propesa ripumb
 
Kiinteligensia waweza kuta alikuwa mnyarwanda then akapandikizwa Tz kwa kazi maalumu na alipoikamilisha akachukuliwa kinamna namna. Na sisi tulivyo maji vichwani tunajisifu pasi na kuangalia kwa jicho la tatu.

Nahisi vyuo vyetu vikuu vina mapandikizi mengi sana ya nje.


Hatushtuki



Usingizi wa pono
 
mimi uzuli nishawahi kuishi kagera ukweli ni kwamba asilimia 50 ya wakazi wa muleba na bukoba wengi asili yao ni rwanda ila wakiwa hapa mjini wanajiita wahaya ,

ila sisi wataalamu huwa tunawatambua kwa kuangalia sura, macho na pua tukishawaona hapa mjini tunawajua wametokea wapi licha wakiwa hapa town wakijiita wahaya
 
kuna umuhimu mkubwa sana kuhakiki majina ya watu wanaoopewa nyadhifa secta za serikali, hasa hayo majina ya kinyarubanja fulani hivi hayo.
 

Pa1 na yote hayo imekuingizia sh.ngap.?
 
kuna umuhimu mkubwa sana kuhakiki majina ya watu wanaoopewa nyadhifa secta za serikali, hasa hayo majina ya kinyarubanja fulani hivi hayo.

Hata hawa wakina mwa.... na wakina mwa... itabid tuwachunguze mana wako sekta nyeti watakua wamalawi au wazambia hawa
 
Tanzania kuna wanyarwanda wengi sana na wana vyeo vikubwa serikalini, baadhi in wale walioingia 1959 na walipewa uraia sema wakichoka wanaamua kuukana utanzania na kurudi Rwanda, binafsi nawajua wengi tu waliorudi kwao na kupewa position kubwa serikalini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…