Rais dkt.John Pombe Magufuli ashiriki ibada ya jumapili ya mwaka mpya katika kanisa kuu jimbo katoli

SniperBoi

JF-Expert Member
Feb 3, 2016
1,103
1,129


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akibusu mkono wa Askofu Msaidizi Jimbo Katoliki la Bukoba Askofu Methodius Kilaini mara baada ya kuwasili katika Kanisa Kuu la Jimbo katoliki Bukoba mkoani Kagera kwa ajili ya Ibada.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Askofu wa Jimbo Katoliki la Bukoba Desiderius Rwoma mara baada ya kuwasili katika Kanisa Kuu la Jimbo katoliki Bukoba mkoani Kagera.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akielekea katika katika Kanisa Kuu la Jimbo katoliki Bukoba mkoani Kagera mara baada ya kuwasili na kupokewa na Askofu wa Jimbo Katoliki la Bukoba Desiderius Rwoma (katikati) pamoja na Askofu Msaidizi Jimbo Katoliki la Bukoba Askofu Methodius Kilaini wa kwanza (kulia)
 
Picha Ya Kwanza Nimeipenda... Hahaha ngoja Wasabato waje... Na baadhi ya Waislamu
 
Hongera Raisi umejitahidi sana kujigawa kwa wananchi wako.Keep it up.
 
Amemshukuru Muhongo kutengua mpango wa kupadisha umeme uliotangazwa na Ewura kwa ombi la tanesco!
 
Back
Top Bottom