Rais wa Yemen anashikiliwa mateka na Waasi wa Hoath katika makazi ya Rais mjini Sana'a. Hali hiyo inafuatia mapambano makali kati ya majeshi ya Serikali na waasi wa Hoath.
Rais wa Yemen anashikiliwa mateka na Waasi wa Hoath katika makazi ya Rais mjini Sana'a. Hali hiyo inafuatia mapambano makali kati ya majeshi ya Serikali na waasi wa Hoath.