Njaa ni jambo la kawaida kwneye nchi ambayo zaidi ya nusu ni kame tupu, hata tunajaribu sana aki ya nani, mengine hayo ya slums zipo hata Marekani hivyo hamna kikubwa, kimsingi mimi nimeshuhudia mabadiliko makubwa sana tangu tupate katiba mpya na kufumua uongozi wote uliokuwepo.
Kwenu huko katiba mpya ndio dawa tu, sema nyie tatizo kubwa hamna uthubutu, mpo mpo tu siku zisonge,