Rahisisha mahesabu ya duka

Rahisisha mahesabu ya duka

nusuhela

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2014
Posts
6,491
Reaction score
8,168
Habari za wakati huu tena wana JF?

Mtanisamehe mimi sio mwandishi mzuri ila nitajitahidi kuelezea ili lengo likamilike.

Nimekuja kwenu kwaajili ya kuwatangazia wale wafanya biashara za maduka ambao hawana mfumo mzuri wa namna ya kutunza kumbukumbu na kufanya mahesabu kujua matumizi na faida za duka.

Kwa kutumia formula za excel nimeweza kutengeneza mfumo ambao utafanya mahesabu ya mauzo ya siku pamoja na matumizi. Pia utaweza kufanya mahesabu ya stock kwa wiki ikiwa ni pamoja na kupiga mahesabu ya faida ikiwa ni pamoja na kutolea VAT.

Pia mfumo huo utaweza kukuonyesha stock uliyonayo na matumizi ya wiki nzima.

Pia huo mfumo utakurahisishia kujua ni kitu gani kwenye duka lako kina faida na namna ya kuongeza na kupunguza matumizi.

Ni maduka ya aina zote pamoja na migahawa

Kwa mwenye uhitaji wa mfumo huo unaotumia excel unaweza nitafuta kwa kupiga namba 0762905779 au whatsap kwa namba 0762905779

Au unaweza kuja pm kwa makubaliano zaidi

Natanguliza shukrani za dhati
 
Back
Top Bottom