SHIEKA
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,240
- 4,270
Nampongeza aliyebuni jukwaa la chit-chat.Hakuna stress wala kununiana.
Unaingia unatoa viblahblah vyako vya dizaini yoyote kisha unasign off.
Umemaliza, na hakuna mod atakayekukunjia ndita eti sijui umrvunja
sheria ya jf.
Kama hii thread ninayoandika. blahblah moja kavu sana ila yenye sababu
kubwa mno Invisible ndiye pekee anayeijua sababu ya thread hii.
Kama huna ishu kwenye siasa au jamii photos njoo chit-chat utuambie
kwa nini ukipiga miayo unatoa sauti.
Nawashukuru, kuna kitu najaribisha hapa!
Unaingia unatoa viblahblah vyako vya dizaini yoyote kisha unasign off.
Umemaliza, na hakuna mod atakayekukunjia ndita eti sijui umrvunja
sheria ya jf.
Kama hii thread ninayoandika. blahblah moja kavu sana ila yenye sababu
kubwa mno Invisible ndiye pekee anayeijua sababu ya thread hii.
Kama huna ishu kwenye siasa au jamii photos njoo chit-chat utuambie
kwa nini ukipiga miayo unatoa sauti.
Nawashukuru, kuna kitu najaribisha hapa!
Last edited by a moderator: