Yaan kuish kwa uhuru bila ya kufuatiliwa ktk mambo kadha wa kadhaHauhisi upweke mkuu
na pia navojua mahusiano yanajengwa kuanzia mizizi hadi kuja kupata majani na hayo.majan.yazae matunda ..kwaio kuna upside downs lakini sidhani kwamba yanaweza kua bughuza as u said au labda unifafanulie zaid mkuu kua ni bugza ipi unaweza pata usipokua single
Duh, uliachana na mtu then ukakaa mwezi tu ikakushinda kua single?Mmmmh kuwa single hapana mi na album ....mapenzi yana raha yake jamani ....nilikaa single mwezi nikaona Kama mwaka hakuna wa kukuuliza umeamkaje, kubembelezwa ,kudekezwa hakuna duuuh usingle hapana
Ila unakuta mtu ana sababu nzito labda kuna maumiv alipitia makali na maamuzi ya mtu kua single pengine hofu ya kutendwa na kuachwa solemba tena kwaio moyo unakua na crack nyingi kwaio anaona bora peke yakeUpweke sio mzuri aise
Ndioo nilishindwaaaDuh, uliachana na mtu then ukakaa mwezi tu ikakushinda kua single?
Kwani imetokea tu mkuu?? Au ilisababishwa na nini? Uliumizwa na mtu, au uliamua tu uwe singleNiko singo ila sielewi ni kwanini.. je kuna tatizo hapo?
Wengine ni mdomo mzito tuh hamna loloteIla unakuta mtu ana sababu nzito labda kuna maumiv alipitia makali na maamuzi ya mtu kua single pengine hofu ya kutendwa na kuachwa solemba tena kwaio moyo unakua na crack nyingi kwaio anaona bora peke yake
Nakiri kuumizwa ila sometimes nahisi ulikua ni ujinga wangu mwenyewe, maana nilikua sina uwezo wa kumuacha sababu ya mapenzi yangu kwake.. Almost 5 years nimekua mtu wa kuumizwa na mtu yule yule mmoja.. nilijitoa sana coz nilimpenda mnooo aseeh ila akatumia huo mwanya wa kunifanyia visa na kuniumiza.. aseeh ni story ndefu mno ukilinganisha na miaka yote hio.. Acha tu niwe singo coz kila nikijaribu kuji engage tena naona nitawaumiza binti za watu coz sina mapenz tena, nimejaribu mara kadhaa lakini najikuta ni matamanio tu ya wik moja alafu baada ya hapo si feel chochote!!..Kwani imetokea tu mkuu?? Au ilisababishwa na nini? Uliumizwa na mtu, au uliamua tu uwe single
au mtu/watu unaowapenda they dont appreciate who you are so they cant love you for who you are,
nini sababu unaona mkuu kati ya hizo nlizosema
Pole sana mkuu. i know how much it pains and i know what am talking aboutNakiri kuumizwa ila sometimes nahisi ulikua ni ujinga wangu mwenyewe, maana nilikua sina uwezo wa kumuacha sababu ya mapenzi yangu kwake.. Almost 5 years nimekua mtu wa kuumizwa na mtu yule yule mmoja.. nilijitoa sana coz nilimpenda mnooo aseeh ila akatumia huo mwanya wa kunifanyia visa na kuniumiza.. aseeh ni story ndefu mno ukilinganisha na miaka yote hio.. Acha tu niwe singo coz kila nikijaribu kuji engage tena naona nitawaumiza binti za watu coz sina mapenz tena, nimejaribu mara kadhaa lakini najikuta ni matamanio tu ya wik moja alafu baada ya hapo si feel chochote!!..
Unaigumiaje mwenyewe, zaidi zaidi ni kwa kukojolea mkojo tu, hapa panazungumziwa kupewa raha ili watoto wazaliwewatu wanataka tu papuchi .bora niitumie mwenyewe maana naigharamia mwenyewe
Hakika mkuu umezungumza jambo la kweliMaisha ya kuwa single kwa mtu ambaye ashawai kuwa na mpenzi ni magumu sana kwasababu ya mazingira kila anapoona wapenz wawili wapendanao wako pamoja basi naye anavuta picha ya uhusiano ambao alikua nao na hatimaye unajikuta unakua na stress mawazo ya kutaka mahusiano yasiyokoma na unajikuta una hasira za mara kwa mara na kujenga mtazamo has kuhusiana na jinsiaa fulani.
kumbuka hivyo vitu kuvipata ni lazima wallet itumike piaMmmmh kuwa single hapana mi na album ....mapenzi yana raha yake jamani ....nilikaa single mwezi nikaona Kama mwaka hakuna wa kukuuliza umeamkaje, kubembelezwa ,kudekezwa hakuna duuuh usingle hapana
umenena kweli mama wa singeli (kwa sauti ya kizenji)Watu tunatofautiana,wapo ambao kuishi single hakuwapi tabu,wanafurahia maisha ya Uhuru wa kujiamulia mambo mbalimbali bila bughudha ya aina yoyote.
Bali tulip wengi tupo single kwa kukosa partner wa uhakika,tunachelea usumbufu wa players na Heartbreakers. Ni kweli kwamba kuwa single ni ngumu lakini ni ngumu zaidi kudumu ktk mahusiano yasiyo sahihi.
Mwaaaaa!....mwaaaaaah,kiss youwatu wanataka tu papuchi .bora niitumie mwenyewe maana naigharamia mwenyewe