Rage hewa tu,eti wazee wa ccm wenye busara! Hivi kumbe ccm inamasharobaro wengi hivyo bungeni???? Kweli tabora+simba hamkutulia kufanya decision still u hv a chance 4 changes.
Hivi huyu ana kisomo gani? Namwona kama mdini sana na tena anayedhani watu siyo analytical. Kwa kweli kila akisimama anakera. Siyo kiongozi wala msemaji mzuri ndo maana klabu yake imeshindwa vibaya sana tangu aiongoze.
Jinsi alivyoivuruga simba na kuitoa kwenye ramani....ndivyo anavyotaka kuliharibu bunge....na kuendelea kuwatelekeza Tabora....
Yeye amezoea kupambana na Nyange Kburu unadhani ataongea nini bungeni?