Nimeangalia hii video namna Rage alivyokuwa anaongea kwa kejeli jana kwenye mkutano wa Simba hadi akafikia ya kuwaita wanachama mambumbumbu na bado wakaishia kupigana wao kwa wao. Kwa mara ya kwanza nakubaliana na aliesema Rage kawageuza Simba misukule yake anawafanya anavyotaka, anapiga hela za mauzo ya wachezaji na hawana la kumfanya.
Dah niliona hiyo jamaa anatukana mania ya watu.kweli niliamini maneno yake simba misukule yake.cjui anajiaminini yule Somali simba badilikeni rage kafanya simba km Mali yake anafanya anachotaka msomali yule
Hao ndio utawakuta wanaongea peke yao barabarani. Mtu analete topic mpya ndani ya kitu kingine kabisa.
Ndio maana Rage anawakomoa na hamna mwenye ubavu mpaka atoke mwenyewe pale. Atapumzika msimu mmoja wa uongozi na misukule yenye short memory itasahau na baadae ataibuka tena na issue zake kama kawa.