BABA WA IMAN Member Joined Jun 23, 2014 Posts 55 Reaction score 7 Aug 5, 2014 #1 Namwitaj xana rafki wa kike. umr miaka 17 had 25 ' Awe na uwezo wa kunipa ushaur kuhusu life yangu-
decomm JF-Expert Member Joined Dec 10, 2013 Posts 726 Reaction score 666 Aug 5, 2014 #2 Subiri watakuja. Pia kumbuka msemo huu " kwenye msafara wa mamba na kenge pia wamo, tena siku hizi na mijusi pia"
Subiri watakuja. Pia kumbuka msemo huu " kwenye msafara wa mamba na kenge pia wamo, tena siku hizi na mijusi pia"
BABA WA IMAN Member Joined Jun 23, 2014 Posts 55 Reaction score 7 Aug 7, 2014 Thread starter #3 decomm said: Subiri watakuja. Pia kumbuka msemo huu " kwenye msafara wa mamba na kenge pia wamo, tena siku hizi na mijusi pia" mmm! Click to expand...
decomm said: Subiri watakuja. Pia kumbuka msemo huu " kwenye msafara wa mamba na kenge pia wamo, tena siku hizi na mijusi pia" mmm! Click to expand...
Evelyn Salt Platinum Member Joined Jan 5, 2012 Posts 77,669 Reaction score 167,705 Aug 10, 2014 #4 Unahitaji ushauri kutoka kwa binti wa miaka 17, haya Serengeti boy kila laheri....
BABA SANIAH JF-Expert Member Joined Oct 20, 2013 Posts 4,777 Reaction score 6,266 Aug 10, 2014 #5 Evelyn Salt said: Unahitaji ushauri kutoka kwa binti wa miaka 17, haya Serengeti boy kila laheri.... Click to expand... mimi nakutaka wewe uwe rafiki yangu
Evelyn Salt said: Unahitaji ushauri kutoka kwa binti wa miaka 17, haya Serengeti boy kila laheri.... Click to expand... mimi nakutaka wewe uwe rafiki yangu
Evelyn Salt Platinum Member Joined Jan 5, 2012 Posts 77,669 Reaction score 167,705 Aug 10, 2014 #6 Bonge the one said: mimi nakutaka wewe uwe rafiki yangu Click to expand... Karibu rafiki, ila ujue urafiki una vigarama vyake ha vocha unanitumia mara moja moja sawa?
Bonge the one said: mimi nakutaka wewe uwe rafiki yangu Click to expand... Karibu rafiki, ila ujue urafiki una vigarama vyake ha vocha unanitumia mara moja moja sawa?
binti kiziwi JF-Expert Member Joined Aug 4, 2014 Posts 15,148 Reaction score 40,880 Aug 10, 2014 #7 Nilipokuwa chuoni tulikuwa tuna msemo wetu ''Ushoga / urafiki gharama" Evelyn salt umenikumbusha mbali
Nilipokuwa chuoni tulikuwa tuna msemo wetu ''Ushoga / urafiki gharama" Evelyn salt umenikumbusha mbali
mshana org JF-Expert Member Joined Jan 28, 2012 Posts 2,091 Reaction score 619 Aug 10, 2014 #8 BABA WA IMAN said: Namwitaj xana rafki wa kike. umr miaka 17 had 25 ' Awe na uwezo wa kunipa ushaur kuhusu life yangu- Click to expand... 17. kweli wameshajua maish?au unataka kumgegedatu?
BABA WA IMAN said: Namwitaj xana rafki wa kike. umr miaka 17 had 25 ' Awe na uwezo wa kunipa ushaur kuhusu life yangu- Click to expand... 17. kweli wameshajua maish?au unataka kumgegedatu?