Radio free Africa

Radio free Africa

GNA

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2012
Posts
246
Reaction score
72
Kila inapotokea, matukio ambayo sii mazuri na yaliyofanywa na Ssm, yakiwa yamechukua habari ya juu kwenye magazeti ya siku inayo fuata, RFA, matangazo yao hutoweka hewani kwa kisingizio, kunaitilafu ya mitamboo. Kwa nini lakini?
 
Diallo si ndo hao hao tu. Hajui kuwa vyombo vyake naanza kupoteza mvuto wa kuhabarisha na kupendwa. BBC ni chombo cha serikali ya uingereza lakin uikosoa na serikali ujirekebisha. Lakini dialo anaogopa. Ni msaka tonge siku hiz amefilisika sio kama zaman
 
Halafu jana Star Tv ikatafuta kahabari Makonda anahutubia wenzake sijui wapi
 
Kwanza redio yenyewe haina stereo,matangazo mpaka usiku wa manane,watangazaji wake wanasauti mbaya,dialo sijui ameajiri wazee tupu!
 
Hata star tv, msoma magazeti anasoma lakini Sauti haisikiki, je hawajui kuwa Sauti haisikiki.?
 
RFA iloshakufa kitambo,RFA ilikuwa enzi hizo watu watangazaji wao walikuwa vizuri sana
 
Rfa na tbc watazikwa kaburi moja,wanapendana sana hawa
 
Mbona nayo ni radio ya chama
 
Hii redio na tv yao siku zote niya kingese sana inawatangazaji baazi mi..ndu sana.
 
Kila inapotokea, matukio ambayo sii mazuri na yaliyofanywa na Ssm, yakiwa yamechukua habari ya juu kwenye magazeti ya siku inayo fuata, RFA, matangazo yao hutoweka hewani kwa kisingizio, kunaitilafu ya mitamboo. Kwa nini lakini?

Sahara media yote ni chama tawala, watangazaji wake wanafanya kazi kwa kupewa maelekezo na lumumba, mfano mzuri ni Tom Chilala
 
Back
Top Bottom