Uzuri wa nyama ya Sungura ni white meat (hana hatari za kuleta magonjwa ya unene, moyo na presha) na nyama yake ina ladha fulani hivi murua, huenda ndio maana bei yake kwa kilo imechangamka.
Ng'ombe kg1 inauzwa 8000/=
Mbuzi kg 1 inauzwa 8000/=
Kitimoto kg 1 inauzwa 8000/=(sehemu zingine mpaka 10,000/=)
Kuku kg 1 inauzwa 8000/=
Sungura kg 1 inauzwa 15,000/=