Unapokuwa member wa Freemason, wanakutumikisha hata kwa mambo yasiyofaa ili siku ukitaka kujitoa tu wakubane.
Mwaka 2016, Chris Brown alitangaza kuwa amechoka kumtumikia Shetani; hadi leo hajatoa mwendelezo wa kauli zake.
Sent using
Jamii Forums mobile app