Yeah Nimecheck ila naona kama wamebana kushusha kitabu pdf...chote..yaani vinakuwa online tu...tena sio detail sana..wanatoka basic
concept.Tukipata vitabu ambapo tunaweza download...itakuwa nzuri sana...kwani kwa sasa wenzetu washafika mpaka SQL Server 2008.
So kuendelea kung'ang'ania na SQL 2000.Vitu vinakuwa vimerahisishwa kwenye Server zingine..