Yaani siku hizi ukiuza baiskeli unapata hela kununua plot? Wapi,kilwa kipatimo?Niambie "MamaaPenz"
unanisuuzaje unavyosema nao washakunaku na visongolokwinyo?
Yaani naskia-laa-mpaa-looni !
Note : propasal yako uliyoniachia nikununulie kiwanja , inshort kiwanja nishakipata around shower Lake Vicy!
Tittle did na mavimbwanga vyose nishamaliza registared Nasty Beibe!
Wao waache wabwabwaje mie natenda.
Hivi kweli hicho kitambi cha muda ndo kinakufanya uwe fataki.....wajameni??? Unanisikitisha sana.....
Utaniambia ulikuwa hujavunja balehe!!!!!!
Ndiyo na nyie "mpigie mstari" neno kua wanaume twakutana na mitihani mingi kushinda nyie.
Nimejaa tele kama pish la mpunga,namshangaa beibe hapa,sijui leo kaamkia ubavu gani,eti anampenda mrina asali.
Yako wapii mapenzi wouwooo dunianii...bella ooh ooh njoo nikupendeee
hata nikifa usije msibani kwa sababu una rohoo mbaya...we mubayaa (source Christian Bella - Akudo sound)
Yetu macho
Wajipa majotroo aiiiii kwanin usiwe biz na manzi wako au ndo cha mbavu kabaaaaWapenda malofa weye? Utajibeba!
Bishanga, ebu nyoosha kidole chako cha kati cha mkono wa kulia, kichovye kwenye asali then kirambe uone! Kama hutorudia kuchovya tena, basi ni lazima utarudia kukiramba kidole mara kumi kumi!! Lol
bado kidogoooo watu humu watashikana ugoni.
kama wataka stress usimuamin mwenz wako halafu uonebado kidogoooo watu humu watashikana ugoni.
Bishanga, ebu nyoosha kidole chako cha kati cha mkono wa kulia, kichovye kwenye asali then kirambe uone! Kama hutorudia kuchovya tena, basi ni lazima utarudia kukiramba kidole mara kumi kumi!! Lol
Wajipa majotroo aiiiii kwanin usiwe biz na manzi wako au ndo cha mbavu kabaaaa
We waache,wengi wamelishwa limbwata,halafu ogopa maji ya mochwari yakichanganywa na damu ya hedhi kisha akakaangizwa na nyama ya mbwea kisha mtoto wa kiume ukatengewa ule.
Watilishaaa looh limbwata ndan ya modern world limbwata langu ni matendo na ulimi wangu tuu hakuna kinyunyiz hata chembe unabahati jg keshawah mzigo ila wewe nahis ungeeza hata kupelekwa mirembe
Alinchota kwan? Hamwagwi mtuu hapa mi na jg jg na mimi baaaaaasii viroho pupa ndo mwaomba hilo jambo na hicho ndo kinazidi kututia nguvuJudgement akikumwaga usije kulia hapa.
Halooooo kaoogee bishanga abashaija mimi yawezekana alikua kiwembe but ndo hatma kakutana nanguo ya chuma soo makali yote yameishaUnajidai eh? Hivi we hujui judgement ni kiwembe mabibi kibao?
Alinchota kwan? Hamwagwi mtuu hapa mi na jg jg na mimi baaaaaasii viroho pupa ndo mwaomba hilo jambo na hicho ndo kinazidi kututia nguvu