Mapensho star
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 3,052
- 4,075
hawa wachaga nani anawapa connection hv wanavyoipenda hii kazi wamejazana sanaKwenye show za radio, haswa vipindi vya kizazi kipya kumekuwa na pengo kwa watangazaji wa kike wenye uwezo na vipaji vya kipekee. Hii imekuwa kwa muda mrefu .
Mtangazaji wa radio asiye kuwa na mfano Salama Jabir baada ya kutoka kwenye radio, kukawa na pengo kubwa sana kwa upande wa mabinti. Baada ya Salama kuacha kutangaza radio akaibuka Dj Fetty kujaribu kukaba ilo gap ambaye kwa kweli alijitahidi sana na alitendea haki mic na kuwa mtangazaji mzuri sana.
Baada ya Fetty kukaa pembeni na kuacha utangazaji.
Nimeona kitu kutoka kwa mtangazaji mgeni yupo anatangaza East Africa radio kipindi cha The Cruise. Huyu binti yupo sawa sawa mno, ana kipaji nimekisia sijaona kwa watangazaji wote wa kike baada ya Salama J. Nimemmsikiliza mara mbili ila nimeona kipaji na package isiyo ya kawaida.
Japo sijajua history yake alianzia kutangaza wapi! Naamini ni hazina kubwa imekuja kwenye tasnia ya burudani kwa ujumla.
Qualification namba moja ya kufanya kazi kwa yule mzee mwenye pua kama kisigino ni uchaga.hawa wachaga nani anawapa connection hv wanavyoipenda hii kazi wamejazana sana
Unataka kumkaza sinyorita?Mkuu mimi nimetaka no yake sijataka historia yake ujue eeh?
Hiyo redio halaf ni wajuaji ile mbaya wanakera mpaka basiKuna redio flan huwa hawajui kuibua vipaji wa ni wizi wizi tuu...
Namtafuta Dj Sinyorita yuko wapi?mwenye noyake anipm
Namba yake kama unaitaka wewe nenda instagram kumuandikie sms insta direct muombe namba yake yeye mwenyeweMkuu huna no ake unipatie?
siko Insta unaweza kunisadia?Namba yake kama unaitaka wewe nenda instagram kumuandikie sms insta direct muombe namba yake yeye mwenyewe
hapana Mkuu nataka kuongea nae tu mambo mazuri mazuriUnataka kumkaza sinyorita?
Unataka kumkaza sinyorita?
Nmeitazama hyo sura,nkahis kama nishawah kuiona,kumbe n fridaHuyu dogo namuelewa sana, si ndiyo yule Frida wa Bss?? anajua sana kuchana
Mtafute kenedy tu tatizo lako litaishaMkuu unaona kwanini nataka no zake?View attachment 405369 View attachment 405371 View attachment 405372
Kawaida sana mkuu, sioni kipya hapo.Mkuu unaona kwanini nataka no zake?View attachment 405369 View attachment 405371 View attachment 405372
Daah mimi huwa namuelewa sn huyu mamy beib.Huyu nae tunda la earadio tena amshukuru sana sam misago kwa kumpa airtime ya kutosha kwenye the cruise na fnl.....wazee wa nyakunyaku wakamnyakua yeye na mamibby
Mkuu mimi nimeona kitu ambacho wewe hujaona hapoKawaida sana mkuu, sioni kipya hapo.
Kapagawa na weupe uleKawaida sana mkuu, sioni kipya hapo.