Sexer
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 8,216
- 7,908
Wakuu, katika marais wa hivi karibuni wa US hakuna rais alikuwa Nyamera na mtata Kama Bush mtoto. Huyu rais alikuwa asikilizi la mtu iwe UN, mabunge yake, nk alikuwa akiamua kukugonga unagongeshwa tu na hakuna mtu wa kukusaidia bila shaka wasaidizi walikuwa wanaogopa.
Kuna huyu Putin wakati watu wanatandikwa hovyo hovyo yeye anakaa meza moja na kubwa la maadui wanakunywa wine na kugonga cheers na inaonekana Putin alikuwa anamkubali Sana bush kuliko hawa waliomfuatia wakati bush ndo alikuwa mbabe na mkorofi kuliko hawa waliofuatia, je Putin alikuwa anamuogopa jamaa au alikuwa anaunga mkono harakati zake?
Kuna huyu Putin wakati watu wanatandikwa hovyo hovyo yeye anakaa meza moja na kubwa la maadui wanakunywa wine na kugonga cheers na inaonekana Putin alikuwa anamkubali Sana bush kuliko hawa waliomfuatia wakati bush ndo alikuwa mbabe na mkorofi kuliko hawa waliofuatia, je Putin alikuwa anamuogopa jamaa au alikuwa anaunga mkono harakati zake?