HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 72,935
- 102,690
Waziri wa mambo ya nje Urusi Bwana Lavlov adai kuwa usiku wa kuamkia leo Ukraini ilijaribu shambulia makazi Putin
Amesema kuwa mazungumzo ya amani yanasitishwa
Hayo yakitokea
Rais wa Ukraini adai Urusi inadanganya na ina lengo la kushambulia majengo ya serikali huko Kyiv
Putin aagiza jeshi la Urusi lisonge mbele na kuchukua jimbo lote la Zaporizhizhia
Amesema kuwa mazungumzo ya amani yanasitishwa
Hayo yakitokea
Rais wa Ukraini adai Urusi inadanganya na ina lengo la kushambulia majengo ya serikali huko Kyiv
Putin aagiza jeshi la Urusi lisonge mbele na kuchukua jimbo lote la Zaporizhizhia