Punguzo 30% SmartPhone za Itel

Wolle Melkas Fernando

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2016
Posts
279
Reaction score
389
Kushirikishana mitonyo siyo vibaya, kampuni ya simu ya Itel kwa kushirikiana na VodaCom, imeanzisha promosheni inayokwenda kwa jina la [HASHTAG]#SmartGulio[/HASHTAG] pale Mlimani City Dar es Salaam ambapo mtu anayenunua simu anapewa bando la intaneti GB10 kutumia mwezi wote na atapunguziwa bei ya simu kwa 30%. Hii inafanyika kila Wikendi yaani Jumamosi na Jumapili ndani ya mwezi mzima wa Oktoba 2016. Pia kuna zawadi ambazo ni maalum kwa mteja atakayenunua bidhaa za Itel.
Unaweza kuchukua link hii:
facebook.com/itelMobileTanzania

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…