Vocal Fremitus
JF-Expert Member
- Oct 20, 2016
- 1,193
- 6,022
1. Mimi hua sifuti namba za ma ex wangu, siwezi jua anaweza kua msaada mkubwa kwangu baadae (muongo, bado ana feelings na hao majamaa).
2. Siwezi kuacha kuwasiliana na ex/mzazi mwenzangu, hatujaachana kwa ubaya (ni suala la muda tu ila kiporo kitapashwa).
3. Acha kumkaripia mwanangu, hata kama amekosea. Zaa wako (Hii ni ya singo maza).
4. Tunawasiliana kwa ajili ya mtoto, sitoacha kumuheshimu, yeye ndio mwanaume wa kwanza kunipeleka leba (singo maza tena).
5. Mimi huwa napenda company na wanaume tu. Hata marafiki zangu wengi ni wanaume (ruuun!).
6. Yule mwanaume nilimpendaga sana. Sidhani kama nitakuja kupenda kama vile (maana yake wakianza kuwasiliana hauna chako).
Unaweza kuongezea nyingine. Vijana washtuke wasije kuweka kambi mazima katika hamna!
2. Siwezi kuacha kuwasiliana na ex/mzazi mwenzangu, hatujaachana kwa ubaya (ni suala la muda tu ila kiporo kitapashwa).
3. Acha kumkaripia mwanangu, hata kama amekosea. Zaa wako (Hii ni ya singo maza).
4. Tunawasiliana kwa ajili ya mtoto, sitoacha kumuheshimu, yeye ndio mwanaume wa kwanza kunipeleka leba (singo maza tena).
5. Mimi huwa napenda company na wanaume tu. Hata marafiki zangu wengi ni wanaume (ruuun!).
6. Yule mwanaume nilimpendaga sana. Sidhani kama nitakuja kupenda kama vile (maana yake wakianza kuwasiliana hauna chako).
Unaweza kuongezea nyingine. Vijana washtuke wasije kuweka kambi mazima katika hamna!