Public smoking is banned in kenya - Marufuku ya kuvuta sigara Kenya

Nyaralego

JF-Expert Member
Nov 13, 2007
732
28
PUBLIC SMOKING IS BANNED IN KENYA

Mother tongue interference at its best.

After public smoking was banned in most Kenyan towns, the
town clerks were obviously assigned the duty of posting notices in to that
effect.



The Coast :
Uvutaji wa sigara umpigwa marufuku kuanzia
leo.Watakaopatikana wakikiuka
amri hii wataadhibiwa kwa mujibu wa sheria za baraza. Nyote
zingatieni.


Kiambu Town: Kikuyuni
Wakunyuanji wa thigara washuge thaana. Unyuanji wa thigara
bere ya watu hata
huko ije umefigwa malufuku na kaju kuanjia reo.Mutu
makipathikana na
mochi,ni bere tu.


Machakos Town: Kwa Wakamba
Wavulutai wa tsikala watsunge tsana. Tsasa kuvuluta tsikala ni maluvuku na
kanzu ya Matsaaku itawatsukulia atua kuvwa
tsaidi.Ukimbatikana na mbaki au
muthokoto uyue ni mbita apo apo.


Nairobi:
Toka leo fegi zimededishwa area.Usituletee. Wacha ushoste.
Usipatikane hata
na lare ndani ya ndai,bure mkono zitatembea,manze.

Kisumu: Wajaluo
Atenson,plis!!! Mifuto sgara adharani sasa omepigwa
marofuku.
Okipaatwa,ibiro yie Kodiaga,whether huyo sgara
omesatairiswa or msokoto!
Apana furuta plis!!

Wajir Town: Wasomali
Habana iko buruta sigara bahali yoyote haba. Yeye
lishapigwa marufuk na sisi
tagaamata mutu bhahala yaghe kiburuta,hofyo hofyo.Gama
nabatigana wowo yugo
nagamatana na moshi,ndani yage mara mocha.



Kericho: Kalenji
Gutoga leo gugunywa na gufuruta sigara
sisi nagshagataasa. Haguna! Charipu wee taona ile gitu
litoa nyoga bangoni!

Bungoma: Kwa Waluyha
Mundu yoyote akikunywa kunaka au raba,mbele ya majo ya
wanainji,achue
adabepa musalapa wake hunyo hunyo.Si hocha uwe munjuni au
paraparani,hakuna
kwitukha kwisi hatarani.


Other town clerks are still working on their respective
notices.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom