Benjamin10
JF-Expert Member
- Dec 31, 2016
- 422
- 620
Habari za muda huu ndugu wapambanaji..
Mimi nina hoja moja juu ya utumishi kutoa majibu ya written interview.. maana wanachukua muda kidogo halafu sasa majina ya shortlisted for oral interview au practical interview, yanatoka usiku wa manane... halafu kesho yake inatakiwa ukaifanye hiyo interview asubuhi saa 1.. aisee
Mimi naona sio fair kabisa.. Em ona matokeao ya NAOT na HESLB mpaka sasa baadhi ya kada bado hayajatolewa na kesho ni interview.. na kuna mengine yalitolewa jana usiku wa manane halafu leo asubuhi wamehitajika kuingia kwenye interview tena.
Mazeee hizi ajira mbona zimekua za kitumwa na kimanyanyaso hivi...
Wapange utaratibu mzuri..
NAYEYUKAAAAA....
Mimi nina hoja moja juu ya utumishi kutoa majibu ya written interview.. maana wanachukua muda kidogo halafu sasa majina ya shortlisted for oral interview au practical interview, yanatoka usiku wa manane... halafu kesho yake inatakiwa ukaifanye hiyo interview asubuhi saa 1.. aisee
Mimi naona sio fair kabisa.. Em ona matokeao ya NAOT na HESLB mpaka sasa baadhi ya kada bado hayajatolewa na kesho ni interview.. na kuna mengine yalitolewa jana usiku wa manane halafu leo asubuhi wamehitajika kuingia kwenye interview tena.
Mazeee hizi ajira mbona zimekua za kitumwa na kimanyanyaso hivi...
Wapange utaratibu mzuri..
NAYEYUKAAAAA....