Ps3 250gb-560,000tsh

Ps3 250gb-560,000tsh

Mkubwa unaoffer kipi cha ziada, games au ni kavukavu???
 
Kuna games.....god of war 3
metal gear solid guns of patriots
ratchet and clank
just cause 2
 
Mult system? Au ndo mpaka CD original?

Ps3 hainaga cd feki kaka? Sema inachofanywa ni kuinstal jailbreakin softwares like back up softwares then unafanya back up of games kwenye internal hard disk au external,,

Yaan unaazima cd kwa mtu then unaicopy hiyo game kwenye ps3 yako kisha unarudisha cd, game unakuwa unaicheza bila cd,, vile vile unaweza kudownload hizo copied games kwenye torrent websites..

So ps3 zote ni regional free yaan hata ikiwa ntsc inacheza cd za pal lakini lazima ziwe original cd
 
True...i had a ps3 na custom software installed lakini nimeuza..dis is unhacked
 
Back
Top Bottom