Collins Gerald
Member
- Feb 13, 2012
- 9
- 2
Mambo vp wadau nina proxy servers kwa ajili ya free internet kama kuna mtu anafahamu jinsi ya kuzitumia na kuziunganisha niweze ku access net please naomba shule ya hii kitu wazee.thank you
sijui watu wengine wakoje tu.
Mambo vp wadau nina proxy servers kwa ajili ya free internet kama kuna mtu anafahamu jinsi ya kuzitumia na kuziunganisha niweze ku access net please naomba shule ya hii kitu wazee.thank you
hahahaaa official C6 new avatar
mtoto six
hapana, ni @c6
poza......
ntakushtaki kwa robot kwa kosa la name calling, heheheheheee