Ally Kombo
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 11,429
- 2,653
ndo maana kila nikimwangalia yule dada naona anafanana na mtu fulani ambaye namjua, sasa jina ndo likanipiga chenga kabisa, aiseeeeeeeeh !Hilo lipo wazi hata dada wa Mbatia kupata ubunge wa EAst Africa
Kumbe ubunge ni sembe na sio uwakilishi?!Mh jaji wewe ni kibaraka wa nani?na vp hili sembe lingekudondokea wewe ungekataa?
Kauli ya Halima mdee kwenye kampeni za kugombea ubunge mwaka 2010 kuwa James Mbatia ni kibaraka wa ccm sasa imetimia. Pia waliompinga Kafulila sasa watakuwa waamefunguka macho na maono. Hii ni baada ya James Mbatia ambaye ni mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi taifa kuchaguliwa kuwa mbunge wa viti maalumu na JK.
Pia Mdee alisema mbatia ni 'chakula', sasa uki connect dots utaona JK anatekeleza maagizo ya cameron, kwamba watu kama kina James nao wapewe nafasi...
Kweli KUPANUA AU KUPANUWA!!?? DOMOKRASIA. James Mbatia mbunge wa VITU maalum !!cdm hakiendi na wakati wenzenu wanapanua demokrasi nyie ubinafsi2, hamfiki mcal4
Kitu nimegundua hap JF ndio maana watu hudiriki kusema Jf ni ya CHADEMA..kwasababu kila kitu hpa kinawekwa ki upinzan hasa wa chama changu cdm kwasababu watu tunashindwa kuelewa nini maana ya demokrasia ya kweli au kukuwa kwa demokrasia....hivi leo hii watu wengi huitolea marekan km nchi iliyopiga hatua ktk demokrasia....kwa mfano Obama pindi anagombea urais Hillary Clinton alikua mpinzani wake lakini sasa hivi huyu mama ndie waziri wa mambo ya nje kwan huyu mama kaathiri kitu gani kwa utendaji wa Obama na serikal yake??? Nasema hapa nikiwa na maana ya kwamba Kikwete kumteua Mbatia kuwa mbunge sio ajabu wala jambo geni hata kidogo....kwan angemteua wa chadema tungehoji??? au udp,nk..?? hapa anapanua wigo wa siasa na kuondoa siasa za mazoea na za chuki dhidi ya vyama vya siasa ili hata wa cdm akipata na akafanya hivyo watu wasione km ajabu...na ieleweke kumpa mbatia hiyo nafas sio kwamba ccm haina watu au wanachama makini sio hivyo hiyo ndio maana halisi ya siasa za kuvumiliana na kuheshimiana na kwa uwazi zaidi...naomba tubadilike SIASA HAINA ADUI WA RAFIKI WA KUDUMU''' naomba kuunga mkono hoja
Hivi yule Mateo Quares yuko wapi siku hizi?
Mbatia kweli anahitaji mwingine au yule kazeeka!!
hoja hapa sio watu hawataki Demokrasia kama unavyotaka tuamini. La hasha! Mbatia ni kiongozi wa chama cha NCCR Mageuzi. Chama ni itikadi ''Idiology'' CCM ina itikadi yake toka zamani hata kabla ya kuanzishwa kwa NCCR Mageuzi. NCCR Mageuzi ilianzishwa kwa sababu ilkuwa haikubaliani na itikadi ya CCM.Kitu nimegundua hap JF ndio maana watu hudiriki kusema Jf ni ya CHADEMA..kwasababu kila kitu hpa kinawekwa ki upinzan hasa wa chama changu cdm kwasababu watu tunashindwa kuelewa nini maana ya demokrasia ya kweli au kukuwa kwa demokrasia....hivi leo hii watu wengi huitolea marekan km nchi iliyopiga hatua ktk demokrasia....kwa mfano Obama pindi anagombea urais Hillary Clinton alikua mpinzani wake lakini sasa hivi huyu mama ndie waziri wa mambo ya nje kwan huyu mama kaathiri kitu gani kwa utendaji wa Obama na serikal yake??? Nasema hapa nikiwa na maana ya kwamba Kikwete kumteua Mbatia kuwa mbunge sio ajabu wala jambo geni hata kidogo....kwan angemteua wa chadema tungehoji??? au udp,nk..?? hapa anapanua wigo wa siasa na kuondoa siasa za mazoea na za chuki dhidi ya vyama vya siasa ili hata wa cdm akipata na akafanya hivyo watu wasione km ajabu...na ieleweke kumpa mbatia hiyo nafas sio kwamba ccm haina watu au wanachama makini sio hivyo hiyo ndio maana halisi ya siasa za kuvumiliana na kuheshimiana na kwa uwazi zaidi...naomba tubadilike SIASA HAINA ADUI WA RAFIKI WA KUDUMU''' naomba kuunga mkono hoja
Jaji kwani Mbatia ni Mtani wako? Viti maalumu ni kwa wanawake tu,yeye ni Mbunge wa Kuteuliwa! Upoozi?Kauli ya Halima mdee kwenye kampeni za kugombea ubunge mwaka 2010 kuwa James Mbatia ni kibaraka wa ccm sasa imetimia. Pia waliompinga Kafulila sasa watakuwa waamefunguka macho na maono. Hii ni baada ya James Mbatia ambaye ni mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi taifa kuchaguliwa kuwa mbunge wa viti maalumu na JK.
Dalili ya mvua ni mawingu.Na hii ndio moja ya sababu zinazodumaza maendeleo ya demokrasia hapa nchini.Sasa nimeamini maneno ya Mh.Mdee kwamba Mbatia anatumiwa na chama tawala ili kuua upinzani nchini.Mungu hamfichi mnafiki.Siku zake zinahesabika.