MwanaDiwani
JF-Expert Member
- Mar 22, 2013
- 5,536
- 2,268
Throughout the history of opposition political parties, opposition politicians have run on platforms of change: changing the constitution, or the economy, or social. They have promised their followers that they will go and "clean up" our Ikulu, and even encouraged their voters to strike and demonstrate without any police go ahead. Those who demonstrate are still on remand and in jail, left by CHADEMA machinery to rot!
Three tier governments structure was impractical and potentially "lethal cocktail" to the union.
What makes for a lethal cocktail on this is that the CUF wanted Mkataba lakini walikuwa wanatumia pango la Serikali tatu kukamilisha ajenda yao ya kuvunja Muungano. The union government would be toothless without the means to assure its own sources of revenue, and depending on the good will of Tanganyika and Zanzibar.
Muungano wetu haupimwi kwa pesa kama wengi wanavyohubiri kwenye nmajukwaa, bali unapimwa kwa ungano la damu.
Mtu anayeomba serikali ya Mkataba unategemea ataweza kuisaidia serikali ya Muungano yenye Jeshi lililo chini ya Serikali ya Muungano ambayo haina vyanzo vya kutosha vya mapato ya kutosha.
While President Kikwete acknowledging that the Constitutional Review Commission under Judge (retired) Joseph Warioba worked professionally and honestly in compiling people's views on the draft, he pinpointed a number of challenges in the draft that would make it unworkable or politically unrealistic.
Abraham Lincoln once said, "a house divided cannot stand" and "a house divided is brought into desolation". And I believe that is the truth of what the UKAWA were doing and still doing!.
I agree with your quotation, but what is practiced in Tanzania under two gvts is a house divided. Serikali moja tu ndiyo suluhisho la muungano tu.T.........
Abraham Lincoln once said, "a house divided cannot stand" and "a house divided is brought into desolation". And I believe that is the truth of what the UKAWA were doing and still doing!.
HUMAN rights activists under the umbrella of Gender Forum Coalition on the Constitution (GFC) have expressed their satisfaction with the proposed constitution as over ninety per cent of their proposed articles have been included.
Source:Dailynews
hahah!! source says it all.
yani hii katiba ni ya kihistoria kama alivyosema JK; kama mambo unayotaka yamo ndani unaiunga mkono. ni sawa na yule kiongozi wa wasanii alivyosema kwa kuwa katiba imewahusisha basi watashawishi watu wapige kura ya kuikubali, na kuongeza ati mambo mengine hayawahusu zaidi ya maslahi ya wasanii!!
Well said MwanaDiwani. It's strange that there is something wrong with CHADEMA's priorities; CHADEMA thinks it is more important to forge alliance with CUF than to look after the interest of the majority of Tanzanians! The agenda of three tier govenment structure can only serve one purpose; that is to bring CHADEMA and CUF together since CUF is aiming at having a union based on contract.
While CCM has not officially questioned the legitimacy of the Constitutional draft presented by Warioba, different members of Constituent Assembly have strongly questioned the procedure used by Warioba to collect and consider the public opinions in the making of the Constitutional Draft. They have successfully suggested that the Draft of Constitution was result of bad sampling. I wish there were another Kubenea to take this matter to court before referendum. Court's judgment would have made easier to a voter to decide. Now one can only find out the truth from the referendum result.
In a country where more than 70 per cent of the population are farmers one would expect a political party to prioritise Land rights. That a farmer's right to have a land for farming and grazing must be guaranteed by Constitution. Unfortunately this matter was left to a Ruling Party and Shibuda.
I don't see how one would pitch three tier govenment system to common mwananchi. A common mwananchi would want to know how a three tier government system would put Ugali on the table. This is huge task.
I'm tired of an old excuse that "the election was rigged". I just hope this time the CHADEMA or UKAWA are well prepared.
Huyo mwenyekiti wa forum hakuzungumza kuhusu marehemu kupiga kura...? Hakuzungumza kwanini HAPANA iundiwe tume...? Hakuzungumza kura za MARUHANI...? hakuzungumza kura za Facebook, tweeter, instagram, viber, tango, SMS, fax, e-mail, ...? Hakuzungumza wajumbe kutopiga kura lakini kwenye matokeo ikaonekana wamepiga kura ya ndiooooo...? Hakuzungumza hadi sasa Makatibu wa Bunge wanaendelea kuweka sawa kura zilizofojiwa...?
I agree with your quotation, but what is practiced in Tanzania under two gvts is a house divided. Serikali moja tu ndiyo suluhisho la muungano tu.
Majibu yako yanaonyesha ukomavu. Ila kumbuka Katiba ya Sita ni janga la kitaifa kwa vile imetungwa na 'interested party' na ikaondoa katika katiba ya Warioba mambo yaliyokuwa yanawanyima usingizi hao 'interested party'. Hakuna mtu anayeweza kujinyonga kwa tai yake mwenyewe. Kama Great Thinker jaribu angalau siku moja ukaeleza ukweli. Inahitaji mtu wa ajabu kukubaliana nayoNdugu,
Ni kweli kama unavyosema lakini naungana pia na Rais Kikwete wakati akipokea Katiba Inayopendekezwa , Dodoma aliposema, kuna masuala mengine ambayo baadhi ya wananchi walipenda yawepo kwenye Katiba lakini hayakuwekwa kwa sababu inawezekana huu haukuwa muda mwafaka kuwepo ndani ya Katiba.
Hata mwelekeo wa CCM kuhusu Muungano ni uwepo wa Serikali moja, lakini mazingira bado hayajatoa nafasi hiyo.