Professor Mhongo Aondoka,Load Shedding & Power Cut Yarudi

Professor Mhongo Aondoka,Load Shedding & Power Cut Yarudi

TEKNOLOJIA

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2014
Posts
4,305
Reaction score
2,563
Haijapita hata mwezi tangu Professor Mhongo aondolewe kimizengwe Wizarani tayari Watanzania tushaanza kulionja joto ya jiwe katokana na kukatwa umeme mara kwa mara hususani hapa Morogoro. Hii ni siku ya tatu sasa tangu TANESCO waanze kukata kata umeme.Naona waziri mpya wa Nishati na Madini ameanza kufanya vitu vyake.Tutakumbuka Mhongo.
 
Karibia tutaanza kununua majenereta!

Mkuu kweli kuna kamugao kanapita kimya kimya
 
Hiyo inaonyesha alikuwa dhaifu katika utendaji wake wa kazi. Hatutaki kutegemea watu katika utendaji na maendeleo ya taifa letu. Tunahitaji sera endelevu.

Acheni kuabudu watu. Hayo ni matusi kwa watoto wetu na vizazi vijavyo kwamba maisha yao sio bora eti kwasababu mtu fulani alifutwa kazi kwa ufisadi.
 
Hiyo inaonyesha alikuwa dhaifu katika utendaji wake wa kazi. Hatutaki kutegemea watu katika utendaji na maendeleo ya taifa letu. Tunahitaji sera endelevu.

Acheni kuabudu watu. Hayo ni matusi kwa watoto wetu na vizazi vijavyo kwamba maisha yao sio bora eti kwasababu mtu fulani alifutwa kazi kwa ufisadi.

Nina amini pamoja na hayo ambayo kimsingi nakubaliana nayo, Muhongo alikuwa mtaalamu wa mambo hayo hivyo inawezekana watendaji ndani ya Tanesco wasingeweza kumpiga changa la macho na fixi zisizo na maana.

Naamini kwamba hawa jamaa waluobaki wizarani pia wkt mwingine hawafuatilii kama alivyofanya Muhongo
 
Ni mara ngapi umeme umekatika Muhongo akiwa waziri?au wewe unaishi Morogoro gani?ni nani alikuwa waziri siku ile hadi akiwa bungeni akaagiza wananchi wasikatiwe umeme ili waone bunge la escrow na bado umeme ukakatika pale pale bungeni pamoja na Tanzania yote?anyway let me be straight,matatizo ya umeme hayataisha hadi baba ritz aondoke madarakani na asifanikiwe kuweka mtu wake ikulu baada yake maana ni yeye anayeivuruga sekta ya nishati kutokana na maslahi aliyonayo huko.hawa akina Muhongo ni vidagaa tu.You are the one to make it happen.
 
Ni mara ngapi umeme umekatika Muhongo akiwa waziri?au wewe unaishi Morogoro gani?ni nani alikuwa waziri siku ile hadi akiwa bungeni akaagiza wananchi wasikatiwe umeme ili waone bunge la escrow na bado umeme ukakatika pale pale bungeni pamoja na Tanzania yote?anyway let me be straight,matatizo ya umeme hayataisha hadi baba ritz aondoke madarakani na asifanikiwe kuweka mtu wake ikulu baada yake maana ni yeye anayeivuruga sekta ya nishati kutokana na maslahi aliyonayo huko.hawa akina Muhongo ni vidagaa tu.You are the one to make it happen.

Umenena kweli mkuu sielewi tatizo la umeme wakati hatutegemei maji na hayo makampuni yanayotuuzia wanatumia gesi au mafuta sio maji tena maana hawakawii kusema ukame.
 
morogoro umeme umekatika kutokana na hitilafu ya nguzo kutokana na mvua ilonyesha.. huyu mtoa mada sijui anaongelea morogoro ipi..
 
Back
Top Bottom