Professionals

echuma

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2010
Posts
311
Reaction score
80
Katika dunia ya sasa kila anaetaka akupe biashara au unataka awe mteja wako lazima akuamini kwanza na uaminifu katika kazi huanza na muonekano,ufanisi na umakini.

Legacy ni kampuni inayoshughulika na huduma ya printing,graphic design,website technology na stationeries inatoa huduma ya branding kwa makampuni na watu binafsi, brand tunayoifanya ni ya designing ya vitu vya stationeries ambavyo mara nyingi ndivyo vinatumika kutangaza kampuni na huduma yako pia ikiwa utafanyiwa branding kampuni itashirikiana na idara ya masoko ya kampuni yako kuhakikisha inafanya vizuri kwa upande wa mauzo.

Kwa sasa kampuni ndio inaanza huduma ambayo ni faida kwa mtu mwenye biashara anaetaka biashara yake iwe kwenye kiwango kile kile hivyo tutachukua kampuni chache kwanza ili tuhudumie kwa uhuru na mipango pia ni busara kama utakuwa miongoni mwao kwa sababu siku zote unapoanza lazima uwe na resornable price hadi watu wakukubali ndipo unapandisha wahi mapema kabla nafasi haijaisha tunaamini kuwa na vichache vizuri ni bora kuliko kuwa na vingi vibovu

Mawasiliano
0688321282 au info@legacytz.com

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…