Msengapavi
JF-Expert Member
- Oct 23, 2008
- 8,766
- 7,561
Lipumba amekwisha kufilisika kisiasa. Kilichobakia sasa ni mihemuko ya mashabiki wake. Uongozi wenye hekima hauwezi kuruhusu arejee kwenye nafasi yake aliyoacha kwa ridhaa yake mwenye alipokua akifuatilia masilahi binafsi. Waliomdanganya wamsaidie!