Profesa Baregu ajitenga na Lowassa

Profesa Baregu ajitenga na Lowassa

singidadodoma

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2013
Posts
4,394
Reaction score
1,538
DSC01102.jpg
 
Yupo kwenye team ushindi na alishasema sio lazima aonekane hadharani,kwa kuongezea ushawahi muona Prof.safari???
 
unaposoma tu vichwa vyote vya habari vya gazeti hilo utajua mwelekeo wake.ni za upande mmoja zaidi.
 
Kumbe ni kipeperushi cha "Tazama Push-up"!!!!??????? Mtasubiri sana!!!!!!!!
 
hilo gazeti halifai hata kufungia vitumbua
 
gazeti la udaku
Bias ya hili gazet iko wazi kwa mtu yeyote objective. Linakosa creadibility kwa habari inayohusu siasa.
Waandishi wa habari wajifunze kuwa "objectively impartial". Uandishi wa aina huu unatunyima habari zakweli.
Na ni tatizo kubwa sana hapa kwetu!
 
Mtu na akili zako ukinunua gazeti kama hili ntakuonà ni punguani.
 
Hao nadhani wanafanya kazi nzuri ya kumshauri mgombea wao awe timamu. Amwage sera si matusi majukwaani
 
Back
Top Bottom