Daniel Abed Shauri JF-Expert Member Joined Jul 13, 2016 Posts 259 Reaction score 172 Jun 4, 2017 #21 Mh!!! Hapa mama alitia fora.
MLAU JF-Expert Member Joined Aug 23, 2007 Posts 4,726 Reaction score 3,367 Jun 4, 2017 #22 Mada za watoto hizo mbona mnazipenda sana.
MKWEPA KODI JF-Expert Member Joined Nov 28, 2015 Posts 28,700 Reaction score 71,104 Jun 4, 2017 #23 kinjumbi one said: Kiswahili kina raha yake jamani. Click to expand... Amesema ukweli kadri unavyozidi kupanua ndivyo watu wanazidi kutamani
kinjumbi one said: Kiswahili kina raha yake jamani. Click to expand... Amesema ukweli kadri unavyozidi kupanua ndivyo watu wanazidi kutamani
kinjumbi one JF-Expert Member Joined May 27, 2015 Posts 1,696 Reaction score 2,158 Jun 4, 2017 #24 Kama mwanadamu ni vizuri wakati mwengine ku refresh mind. Sio wakati ni sirious issue tu. Utakakamaa uso.
Kama mwanadamu ni vizuri wakati mwengine ku refresh mind. Sio wakati ni sirious issue tu. Utakakamaa uso.
kinjumbi one JF-Expert Member Joined May 27, 2015 Posts 1,696 Reaction score 2,158 Jun 4, 2017 #25 K MLAU said: Mada za watoto hizo mbona mnazipenda sana. Click to expand... Kama mwanadamu ni vizuri wakati mwengine ku refresh mind sio wakati wote ni sirious issue tu utakakamaa uso
K MLAU said: Mada za watoto hizo mbona mnazipenda sana. Click to expand... Kama mwanadamu ni vizuri wakati mwengine ku refresh mind sio wakati wote ni sirious issue tu utakakamaa uso
GAZETI JF-Expert Member Joined Feb 24, 2011 Posts 5,292 Reaction score 6,769 Jun 4, 2017 #26 MLAU said: Mada za watoto hizo mbona mnazipenda sana. Click to expand... Mkuu mada za makinikia zinaumiza kichwa!
MLAU said: Mada za watoto hizo mbona mnazipenda sana. Click to expand... Mkuu mada za makinikia zinaumiza kichwa!